Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU: SICHANGANYI MADAWA KAMA WENGINE

Mtoto mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Stori: shani ramadhani MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema katika maisha yake ya sanaa hataweza kufanya kazi nyingine mbali na kuigiza kama ambavyo wasanii wengine wanafanya. Akipiga stori na mwandishi wetu, Lulu alisema, amegundua kuwa kila kitu kinatakiwa kifanywe kama kazi na yeye atakuwa akifanya kazi yake ya kuigiza tu na si...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Mmoja Kati ya Hawa Akinichukia Ndio Nitapata Pressure, Lakini Wengine…..

Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata  ‘Lunch’  Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya  wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.

“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu...

 

10 years ago

GPL

MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE

Na Makongoro Oging’ “Nisaidieni mwanangu awe kama watoto wengine,” ni maneno ya mama mzazi wa mtoto Azimina Abdallah (miezi 11),  mkazi wa Zanzibar, Unguja anayeishi kwa mateso na maumivu makali kutokana na jicho kuvimba tangu azaliwe. Kwa sasa mama mzazi wa mtoto huyo aitwaye Amina Mbaruku anahangaika naye huku baba yake akidaiwa kutoonekani kwa muda mrefu, hivyo kuchukua uamuzi wa kuiomba jamii imsaidie....

 

9 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian asema atadai tena talaka kama Lamar Odom atarudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Shemeji wa Kanye West, Khloe Kardashian amekuwa bega kwa bega na mumewe Lamar Odom toka alipolazwa hospitali mara ya kwanza baada ya kukutwa hajitambui kutokana na kuzidisha dawa za kulevya huko Las Vegas. Hali ya Lamar ilimfanya Khloe kuamua kuachana na aliyekuwa boyfriend wake James Harded, na kufuta kesi ya kudai talaka na kuipa ndoa […]

 

11 years ago

GPL

LULU: KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO

Na Waandishi Wetu
SURA ya mauzo katika sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ametoa ya moyoni kuwa kama siyo kuwekwa nyuma ya nondo za Mahabusu ya Segerea, Dar basi yangemkuta mazito. Lulu alikaa Gereza la Segerea kwa takribani miezi kumi baada ya kutokea kifo cha aliyekuwa mwandani wake, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’ aliyefariki dunia Aprili 7, 2012.
Nyota huyo wa Filamu ya...

 

9 years ago

Bongo5

Angelina Jolie: Mimi na Brad Pitt tuna matatizo kama wanandoa wengine

bradjelina_2980307b

Mastaa nao wapo kama sisi tu.

bradjelina_2980307b

Angelina Jolie alizungumzia maisha na mume wake Brad Pitt Jumapili ya Nov. 8, na kuweka wazi kuwa mastaa hao nao wana wakati wa shida na raha kama watu wengine kwenye uhusiano.

“Mimi na Brad tuna matatizo kama wanandoa wengine wowote,” Jolie, 40, aliliambia gazeti la The Telegraph wakati akipromote filamu yake mpya, By the Sea. “Tuna siku ambazo hujikasirisha vibaya sana lakini matatizo kwenye filamu hii sio yetu wenyewe.”

Filamu hiyo iliyoongozwa na Jolie...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbwa wanaosujudiwa kama watoto, lulu na mapenzi

Ilikuwa siku chache baada ya Krismasi. Niliongozana na rafiki yangu mwanahabari wa gazeti moja mashuhuri Ujerumani. Tumekaa moja ya hoteli ambazo kama wewe si mwenyeji hutaijua.

 

9 years ago

Mtanzania

Lulu: Nampenda Wema kama dada yangu

lulu_instagramNA THERESIA GASPER

KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepetu, utakuwa umekosea, kwani hakuna ugomvi kati yao.

Lulu alieleza kwamba wamekuwa wakishirikiana na Wema Sepetu katika mambo mbalimbali, ikiwemo sherehe, misiba na mijumuiko mbalimbali.

“Nampenda Wema kama dada yangu na yeye ananipenda vile vile, nimekuwa nikihudhuria kwenye shughuli mbali mbali ambazo zinamhusu, nilishiriki vema katika msiba wa baba yake na sherehe zake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno Haya ya Lulu ,Yachukulie Kama Changamoto

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram ameandika ujumbe  mzuri ambao  kiukweli unaweza kukupa nguvu zaidi kufikia malengo yako kama mtu unaejitambua.

 “The more they try to slow you down on the road of purpose, the faster you have to go..!
You only meet opposition when you're going the right way”

Kwa tafsiri isiyo rasmi anasema “kwa jinsi wanavyozidi kujaribu kukurudisha nyuma katika njia ya mafanikio ndio inakubidi...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA-WANANCHI WA KARATU WANA HAKI YA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA MAENDELEO KAMA WENGINE.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi Mjini Karatu na kujibu hoja mbalimbali za Wananchi,ambapo aliwaelez wananchi hao kuwa maswali mengi yanahusu kujibiwa na Mbunge wa jimbo hilo ambaye ni wa upinzani, Madiwani na Mwenyekiti wa halmashauri kwa kuwa ndiyo wenye kusimamia miradi na kuwapa taarifa wananchi, Lakini viongozi hao wamekuwa wakifanya mambo wanavyotaka na kuacha wananchi wakipata taabu kwa sababu ni wa chama cha Upinzani (CHADEMA). 
Hata hivyo Kinana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani