Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Avumaye kwa sasa ni Mandela, lakini na wengine wapo

Kwa sasa ulimwengu mzima uko kwenye majonzi makubwa kwa kumpoteza kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

10 years ago

Mwananchi

Wapo walioshindwa kukemea rushwa, sasa wanataka madaraka

Ni miezi takriban kama mitatu na nusu imesalia Watanzania wenye sifa za kupiga kura wakapige kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi, wakiwamo wabunge, madiwani na rais.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Mmoja Kati ya Hawa Akinichukia Ndio Nitapata Pressure, Lakini Wengine…..

Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata  ‘Lunch’  Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya  wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.

“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Alikaidi wazazi lakini sasa anajuta

Sarika ni msichana kutoka familia tajiri ya kihindi, lakini ndao yake kwa mwanaume mfarika ilisababisha familia yake kumlaani. Kwa sasa ndoa imevunjika

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera Rais, lakini sasa jenga mfumo

Rais John Magufuli juzi alitengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk Edward Hoseah akieleza kuwa hajaridhishwa na utendaji wake hasa katika suala la upotevu wa makontena ambao umeisababishia Serikali kupoteza mapato.

 

9 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAFUNGWA GOLI 1 NA MALAWI LAKINI YAPITA SASA KUKUTANA NA ALGERIA

Mbwana Samata (kushoto) na Thomas Ulimwengu wakishangilia goli la pili lililofungwa na UlimwenguMbwana Samata (kushoto) na Thomas Ulimwengu wakishangilia goli la pili lililofungwa na Ulimwengu wakati Stars ikicheza dhidi ya Malawi kwenye uwanja wa Taifa
Timu ya Tanzania Taifa Stars leo imefuzu kusonga mbele baada ya kufungwa goli 1-0 na Malawi goli lililopatikana katika kipindi cha kwanza katika dakika ya 43 ya mchezo goli lililofungwa kifundi nje ya 18 na mchezaji machachali wa Malawi John Banda anayevaa jezi nambari 7.
Katika mchezo huo uliochezewa katika uwanja wa Kamuzu jijini...

 

10 years ago

Raia Mwema

Slaa na sasa Lipumba, nani wengine dhamira zitawasuta?

“KWANGU mimi kuingia Ikulu ni tunda la lengo kuu ambalo ni kurudisha maadili ndani ya nchi hii.

Johnson Mbwambo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani