Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapo walioshindwa kukemea rushwa, sasa wanataka madaraka

Ni miezi takriban kama mitatu na nusu imesalia Watanzania wenye sifa za kupiga kura wakapige kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi, wakiwamo wabunge, madiwani na rais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Avumaye kwa sasa ni Mandela, lakini na wengine wapo

Kwa sasa ulimwengu mzima uko kwenye majonzi makubwa kwa kumpoteza kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

10 years ago

Mwananchi

Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa

Natambua kwamba bado tuna joto la sakata la “escrow” ambalo hata baada ya Mkuu wa Nchi Rais Jakaya Kikwete kulifafanua na hata kama hujui kusoma upepo kiasi gani utakuwa umegundua na utaungana nami kwamba bado wananchi wamegawika kabisa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania sasa yasakamwa kwa rushwa

>Tanzania imetajwa kuwa nchi ya mwisho duniani kati ya nchi 30, kwa kushindwa kutoa ripoti ya utekelezaji wa bajeti ya mwisho wa mwaka wa fedha 2013/2014.

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa sasa imeshamiri kwa Watanzania

Rushwa, rushwa, rushwa! Ndiyo wimbo ambao tunauimba kila kukicha. Tunatafuta mbinu za kuiondoa, tunasali na tunaunda taasisi kadhaa ili kuitokomeza, lakini nachelea kusema kuwa mwarobaini wake bado haujapatikana au pengine utapatikana miaka 300 ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki wala rushwa sasa kusota njaa

Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, kina mpango wa kuanzisha utaratibu mpya wa kulipa faini zote za makosa ya barabarani kupitia benki na mitandao ya simu za mkononi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bravo’ JK kukemea uonevu wa polisi

Jana gazeti hili lilikuwa na habari iliyosema ‘JK akerwa polisi kubughudhi wananchi’. Habari hiyo ilikuwa ikielezea namna Rais Jakaya Kikwete alivyokerwa waziwazi na kitendo cha polisi kuwazonga na kuwasukuma wananchi waliokusanyika eneo la Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuunge mkono kukemea mafundisho potofu ya dini

Wiki moja iliyopita katibu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Khamis Mattaka, akiwa mbele ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alitoa kauli kali ya kukemea mawaidha na mafundisho yaliyotolewa na masheikh waliotoka Oman wakiwa mkoani Kigoma.

 

9 years ago

Global Publishers

Ummy azidi kukemea uuzwaji holela wa matunda

1.Waziri wa afya,Maendeleo ya jamii, Wazee na watoto, Ummy Mwalimu akisoma taarifa yake.Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Wazee na watoto, Ummy Mwalimu akisoma taarifa yake.

2.Mwalimu akionesha msisitizo wa jambo alipokuwa akisoma taarifa yake.Mwalimu akionesha msisitizo wa jambo alipokuwa akisoma taarifa yake.

3.Ummy Mwalimu (kushoto) akisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).Ummy Mwalimu (kushoto) akisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).

4.Mkutano ukiendelea.Mkutano ukiendelea.

TAMKO LILILOTOLEWA NA MHE. UMMY MWALIMU, WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, KUHUSU HALI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI 28 DESEMBA 2015

Ndugu Waandishi wa Habari,

Ninapenda kutoa taarifa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani