Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania sasa yasakamwa kwa rushwa

>Tanzania imetajwa kuwa nchi ya mwisho duniani kati ya nchi 30, kwa kushindwa kutoa ripoti ya utekelezaji wa bajeti ya mwisho wa mwaka wa fedha 2013/2014.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rushwa sasa imeshamiri kwa Watanzania

Rushwa, rushwa, rushwa! Ndiyo wimbo ambao tunauimba kila kukicha. Tunatafuta mbinu za kuiondoa, tunasali na tunaunda taasisi kadhaa ili kuitokomeza, lakini nachelea kusema kuwa mwarobaini wake bado haujapatikana au pengine utapatikana miaka 300 ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yasakamwa 4-0 na Atletico

Viongozi wa ligi ya La Liga Real Madrid siku ya jumamosi walisakamwa mabao 4 bila jibu na wapinzani wao Atletico Madrid

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki wala rushwa sasa kusota njaa

Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, kina mpango wa kuanzisha utaratibu mpya wa kulipa faini zote za makosa ya barabarani kupitia benki na mitandao ya simu za mkononi.

 

11 years ago

GPL

ANKO LUNDENGA: HAKUNA MISS TANZANIA ANAYESHINDA KWA KUTOA RUSHWA YA NGONO

MWASISI na muandaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga, ‘Uncle Lundenga,’ amefunguka kuwa wanaoshinda Umiss Tanzania hawashindi kwa rushwa ya ngono. Lundenga (58) Mkurugenzi wa Rhino International Agency ambao ni waandaaji wa mashindano ya urembo Tanzania ni mmoja wa wadau muhimu sana katika tasnia ya urembo, alianza kujihusisha na kuendesha mashindano hayo ya Miss Tanzania mwaka 1994 ambapo ndipo shindano la...

 

10 years ago

Mwananchi

Wapo walioshindwa kukemea rushwa, sasa wanataka madaraka

Ni miezi takriban kama mitatu na nusu imesalia Watanzania wenye sifa za kupiga kura wakapige kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi, wakiwamo wabunge, madiwani na rais.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuchika: Tanzania ni nchi ya pili Afrika Mashariki kwa Utawala Bora na Vita dhidi ya Rushwa

1

Brass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyoanza kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salam.

Hussein Makame-MAELEZO

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema kuwa Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la Utawala Bora na vita dhidi ya Rushwa.

Waziri Mkuchika amayasema hayo wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Nchi pekee duniani kwa hivi sasa ambayo kuokota makopo imegeuka ni ajira kubwa sana kwa vijana ni Tanzania.

Siku za hivi karibuni hapa nchini Tanzania ,vijana wengi mitaani wamekuwa wakijipatia kipato chao cha mkate wao wa kila siku kupitia kazi ya kuokota makopo yaliyotupwa na watumiaji ambayo awali yalikuwa na vinywaji aina tofauti tofauti,vijana […]

The post Nchi pekee duniani kwa hivi sasa ambayo kuokota makopo imegeuka ni ajira kubwa sana kwa vijana ni Tanzania. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania sasa namba moja kwa utalii

DSC_0089

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro  Nyalandu.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Wizara ya Maliasili na Utalii

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kama ilivyoripotiwa na kituo cha utangazaji cha CNN cha nchini Marekani, napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nchi yetu imeendelea kufanya vizuri duniani katika kunadi vivutio vya utalii vilivyoko hapa nchini. Hii inatokana na hatua madhubuti tulizochukua kama nchi, katika suala zima la uhifadhi hasa kwenye ulinzi wa maliasili zetu dhidi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani