Rushwa sasa imeshamiri kwa Watanzania
Rushwa, rushwa, rushwa! Ndiyo wimbo ambao tunauimba kila kukicha. Tunatafuta mbinu za kuiondoa, tunasali na tunaunda taasisi kadhaa ili kuitokomeza, lakini nachelea kusema kuwa mwarobaini wake bado haujapatikana au pengine utapatikana miaka 300 ijayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLRUSHWA IMESHAMIRI, CHAGUZI ZIJAZO TUTASHUHUDIA MENGI
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Tanzania sasa yasakamwa kwa rushwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s72-c/16.jpg)
WAZIRI MEMBE AWASIHI WATANZANIA KUTOCHAGUA VIONGOZI WANAOSAKA UONGOZI KWA KUTOA RUSHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s640/16.jpg)
lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa na kudhaminiwa na Kampuni ya Dira ya Mtanzania. PICHA NA MICHUZI JR.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q4Nn6kOfI3M/VWtgplbIDGI/AAAAAAAC5Q4/dsuPNWP8-7w/s640/17.jpg)
9 years ago
Michuzi05 Jan
WATANZANIA MSIKUBALI KUTOZWA RUSHWA KWA AJILI YA DAMU, TOA TAARIFA KWA NESI, DAKTARI ATAKAYETOZA DAMU!- DK. KIGWANGALA
![IMG_0681](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0681.jpg)
Afisa Uendeshaji wa Ofisi za Mpango wa Taifa wa Damu Salama zilizopo jijini Dar es Salaam, Bw. Abdu Juma akitoa maelezo ya namna wanavyoendesha shughuli zao kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kigwangalla aliyefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi hizo, Januari 4, 2016. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
![IMG_0770](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0770.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watanzania msikubali kutozwa rushwa kwa ajili ya damu, toa taarifa kwa nesi, daktari atakayetoza damu!- Dk. Kigangwalla
Afisa Uendeshaji wa Ofisi za Mpango wa Taifa wa Damu Salama zilizopo jijini Dar es Salaam, Bw. Abdu Juma akitoa maelezo ya namna wanavyoendesha shughuli zao kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kingwangalla aliyefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi hizo, Januari 4, 2016. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Modewjiblog, Team.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameagiza watanzania...
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Trafiki wala rushwa sasa kusota njaa
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Wapo walioshindwa kukemea rushwa, sasa wanataka madaraka
10 years ago
VijimamboSHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...