Ummy azidi kukemea uuzwaji holela wa matunda
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Wazee na watoto, Ummy Mwalimu akisoma taarifa yake.
Mwalimu akionesha msisitizo wa jambo alipokuwa akisoma taarifa yake.
Ummy Mwalimu (kushoto) akisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).
Mkutano ukiendelea.
TAMKO LILILOTOLEWA NA MHE. UMMY MWALIMU, WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, KUHUSU HALI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI 28 DESEMBA 2015
Ndugu Waandishi wa Habari,
Ninapenda kutoa taarifa kwa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Jan
Kata ya Lemara yakabiliwa na uuzwaji holela wa viwanja
KATA ya Lemara jijini hapa, inakabiliwa na changamoto ya uuzwaji holela wa viwanja sambamba na baadhi ya watu kuziba njia za watembea kwa miguu na matumizi mengine.
10 years ago
Mwananchi21 Jun
MAONI : Sheria zisimamiwe kudhibiti uuzwaji holela wa dawa
9 years ago
StarTV17 Dec
Uuzwaji matunda, vyakula maeneo ya wazi ni marurufu nchini ili Kudhibiti Kipindupindu
Serikali imepiga marufuku wafanyabiashara wanaouza matunda yaliyokatwa na chakula katika maeneo ya wazi nchi nzima ili kuzuia mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ulioenea katika mikoa takribani 21 Tanzania Bara.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ametoa tamko hilo la serikali na kusema ili kuumaliza ugonjwa huo ni lazima maambukizi mapya yadhibitiwe na atakayekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua za kisheria.
Tamko hilo limetolewa wakati watu elfu 11,257...
10 years ago
Mwananchi14 May
‘Bravo’ JK kukemea uonevu wa polisi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-elKkHhYOH4k/VS-1McyyfdI/AAAAAAAHRho/EURh6qsswOQ/s72-c/IMG-20150416-WA047.jpg)
IGP NA MASHEIKH WAUNGANA KUKEMEA UHALIFU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-elKkHhYOH4k/VS-1McyyfdI/AAAAAAAHRho/EURh6qsswOQ/s1600/IMG-20150416-WA047.jpg)
Na Frank Geofray- Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu pamoja na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini wameungana kwa pamoja kukemea vitendo vya uhalifu hapa chini pamoja na kuzitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto wao ili kuondokana na...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Tuunge mkono kukemea mafundisho potofu ya dini
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Sakata uuzwaji Cocobeach lageuka
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
WAKATI Serikali ikimsimamisha kazi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty, kwa madai kuwa pamoja na mambo mengine alihusika kuuza ufukwe wa Cocobeach, sakata hilo limevaa sura mpya baada ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na Diwani wa Kata ya Ubungo, Boniface Jacob, kuibuka na kutoa mktaba unaaonyesha kuwa eneo hilo liliuzwa kabla ya Mhandisi huyo kuanza kazi Kinondoni.
Mbunge huyo na Diwani ambao wote wanatoka Chama cha Demokrasia...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Wapo walioshindwa kukemea rushwa, sasa wanataka madaraka
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wananchi tupaze sauti kukemea ukosefu wa dawa hospitalini
HIVI karibuni iliripotiwa kuwa hospitali za umma zinakabiliwa na uhaba wa dawa na vifaatiba, hali inayowaathiri zaidi wananchi wa kipato cha chini. Kuathirika huko kwa wananchi kunatokana na ukweli kwamba...