Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuunge mkono kukemea mafundisho potofu ya dini

Wiki moja iliyopita katibu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Khamis Mattaka, akiwa mbele ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alitoa kauli kali ya kukemea mawaidha na mafundisho yaliyotolewa na masheikh waliotoka Oman wakiwa mkoani Kigoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BASHUNGWA: TUUNGE MKONO BIDHAA ZA NDANI ‘MADE IN TANZANIA’




Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Innocent Bashungwa akizungumzana Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhuhu bidhaa za kiwanda cha vifaa vya umeme cha Africab Jijini Dar es Salaam kinachozalisha vifaa mbalimbali ikiwemotransfoma, katika mwendelezo wa Ziara ya kutembelea viwanda Jijini Dar esSalaam.Baadhi ya Vifaa vya Umeme vinavyozalishwa na kiwanda cha Africabkilichopo Jijini Dar es salaam, kiwanda hicho kinatengeneza vifaa mbalimbalizikiwemo transfoma na nyaya za...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuimarishe mafundisho ya dini kulea watoto wetu

Mwandishi mmoja wa gazeti hili aliwahi kuandika makala kuhusu nafasi ya mafunzo ya dini katika kuliandaa Taifa lenye maadili mema.

 

10 years ago

Dewji Blog

MNEC Ikungi awataka viongozi wa dini kukemea maovu kwa vijana

DSC00613

Mjumbe wa halmashauri kuu (NEC) CCM taifa wilaya ya Ikungi, Jonathan Njau, akizungumza na viongozi wa makanisa ya Free Pentekoste, KKKT na Roman katoliki kijiji cha Kipumbuiko muda mfupi kabla ya kuwakabidhi msaada wa mifuko 60 kwa ajili ya ujenzi, uboreshaji wa majengo ya makanisa yao.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

VIONGOZI wa madhehebu ya dini jimbo la Singida mashariki mkoa wa Singida, wameombwa kuwaelimisha na kuwahimiza vijana kuishi maisha mema na ya uadilifu, ili kupunguza kasi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita ya dondosha ‘mkono wa sweta’ na imani potofu

Wakati Serikali ikihimiza tohara ya mwanamume kama mbinu mojawapo mahususi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi, bado zipo imani potofu zinazokinzana na juhudi hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Waunga mkono kauli za viongozi wa dini

Wanazuoni na wananchi mbalimbali wameunga mkono ushauri wa viongozi wa dini wa kuwataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuacha kuwatusi waliokuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini waunga mkono hoja ya kuombea Bunge

KIONGOZI wa Jumuiya ya Ahamadiyya Mkoa wa Dodoma na Singida Bashart ur Rehman Butt ameunga mkono kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kutaka viongozi wa dini kuombea Bunge la Katiba ili liweze kuendelea.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuzingatie mafundisho, sherehe za Maulid

Jana ilikuwa ni Siku ya Maulid, siku maalumu ambayo waumini wa dini ya Kiislamu duniani kote walisherehekea kuzaliwa kwa Kiongozi wao Mtume Muhammad (SAW), aliyezaliwa miaka 1435 iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunayazingatia mafundisho ya Mwalimu wetu?

Tarehe 14 Aprili ilikuwa ni siku ya kukumbuka tarehe ya kuzaliwa Mwalimu Julius Nyerere.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani