Tunayazingatia mafundisho ya Mwalimu wetu?
Tarehe 14 Aprili ilikuwa ni siku ya kukumbuka tarehe ya kuzaliwa Mwalimu Julius Nyerere.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Tuimarishe mafundisho ya dini kulea watoto wetu
Mwandishi mmoja wa gazeti hili aliwahi kuandika makala kuhusu nafasi ya mafunzo ya dini katika kuliandaa Taifa lenye maadili mema.
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Mwalimu ni ng’ombe wetu wa maziwa, tumtunze
RAIS Jakaya Kikwete, alifurahi na kuonyesha furaha yake hiyo kwa kicheko, baada ya kusikia maneno ya walimu waliokuwa wakipita mbele yake kwa maandamano. Walimu hao walimuomba awasaidie kwa sababu hadi...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Pkqfk6AsDw/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tuzingatie mafundisho, sherehe za Maulid
Jana ilikuwa ni Siku ya Maulid, siku maalumu ambayo waumini wa dini ya Kiislamu duniani kote walisherehekea kuzaliwa kwa Kiongozi wao Mtume Muhammad (SAW), aliyezaliwa miaka 1435 iliyopita.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Tuunge mkono kukemea mafundisho potofu ya dini
Wiki moja iliyopita katibu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Khamis Mattaka, akiwa mbele ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alitoa kauli kali ya kukemea mawaidha na mafundisho yaliyotolewa na masheikh waliotoka Oman wakiwa mkoani Kigoma.
11 years ago
Michuzi16 Jul
Mafundisho: Matumizi sahihi ya Facebook kwa Wafanyabiashara
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/uhI4RXBiuKKeG9gM2jJYYBpKuJqKIsvUDPeg2aov2MqB8CvJmQNwDcfg-F8XBXtxuQnzxep0nd9a-sL2ww0LOktoFwMRsaK1SbPAMpvaBL9mNrK2UnwBvpbMXKHg=s0-d-e1-ft#http://www.dudumizi.com/images/Facebook-for-Small-Business-dudumizi.jpg)
Kwa kulitambua hilo, Dudumizi Technologies LTD inakuletea mafunzo juu ya njia na namna sahihi za kutumia Facebook kukuza na kuboresha Biashara.
Mafunzo haya yatakuwa ya wiki mbili, bila kukuchosha (tukitambua muda ni kitu muhimu kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gUwbko0ht9s/VaUYikJjdBI/AAAAAAAAAtU/RK--BLHUF0k/s72-c/IYK_Ibada%2B%2B7-19-15.jpeg)
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyotakiwa kuchangia marehemu. Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Freddy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.Kamanda Misime amesema walimu hao wote wawili wanalikuwa wakiishi katika nyumba moja na walikuwa wakichangia bili ya umeme katika nyumba...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania