Mwalimu ni ng’ombe wetu wa maziwa, tumtunze
RAIS Jakaya Kikwete, alifurahi na kuonyesha furaha yake hiyo kwa kicheko, baada ya kusikia maneno ya walimu waliokuwa wakipita mbele yake kwa maandamano. Walimu hao walimuomba awasaidie kwa sababu hadi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Ng'ombe 'waandamana' kupinga bei duni ya Maziwa
Wakulima waliwapeleka ngo'mbe wao madukani katika maandamano ya kipekee ya kupinga bei duni ya maziwa Uingereza
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--VD3gvToaGA/VEeknsxA6nI/AAAAAAAGspU/XXvOXHLSdPE/s72-c/001.jpg)
DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani, amekabidhi mikopo ya Ng’ombe wa maziwa themanini na tatu (83) kwa kikundi cha wafugaji cha Somangira walioko Kigamboni wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Ng’ombe hao ambao wamenunuliwa kwa mkopo uliotolewa na Covenant Bank wana uwezo wa kuzalisha maziwa zaidi ya Lita 20 kwa siku. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo Waziri Kamani ametanabaisha kuwa mikopo ya aina hiyo italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya mifugo.
“Kitendo cha...
Ng’ombe hao ambao wamenunuliwa kwa mkopo uliotolewa na Covenant Bank wana uwezo wa kuzalisha maziwa zaidi ya Lita 20 kwa siku. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo Waziri Kamani ametanabaisha kuwa mikopo ya aina hiyo italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya mifugo.
“Kitendo cha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-49A13IAlirM/Vc4BfnjgFjI/AAAAAAAHwqo/rMDqA7ofCpI/s72-c/cow.jpg)
MTOTO CHINI YA MIEZI SITA HAWATAKIWI KUPEWA MAZIWA YA NG'OMBE-TFNC
![](http://4.bp.blogspot.com/-49A13IAlirM/Vc4BfnjgFjI/AAAAAAAHwqo/rMDqA7ofCpI/s640/cow.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
IMEELEZWA kuwa Mtoto chini ya mwezi hatakiwi kunywa maziwa yeyote isipokuwa ya mama yake, kutokana na maziwa ya ng’ombe kuwa mazito na hayawezi kumsaidia mtoto katika kukua kwake.
Hayo ameyasema mtaalam wa lishe wa Taasisi ya Chakula lishe nchini (TFNC),Neema Joshua wakati wa semina ya waandishi wa habari ya kuwajengea uwezo wa masuala ya Lishe,amesema maziwa ya ng’ombe yanatumika tu pale hakuna namna ya kuweza kupata maziwa mengine.
Amesema watoto chini ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wcOrqPl1qbM/VEgAmMTGKjI/AAAAAAAGszg/ac450JYdscI/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
WAZIRI DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO KIGAMBONI, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-wcOrqPl1qbM/VEgAmMTGKjI/AAAAAAAGszg/ac450JYdscI/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QcP9u0u7Y9M/VEgAmKTywiI/AAAAAAAGszo/KZzPAuKwUV0/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Tunayazingatia mafundisho ya Mwalimu wetu?
Tarehe 14 Aprili ilikuwa ni siku ya kukumbuka tarehe ya kuzaliwa Mwalimu Julius Nyerere.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Pkqfk6AsDw/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eZvj5_SV0k8/XtPkDSVsHII/AAAAAAALsKg/C6QZwhQDGzAy3gHq1V4ut4P3qHC3fCwiACLcBGAsYHQ/s72-c/eb310d63-56b3-49ac-8c35-84c5f2a0675d.jpg)
DC KATAMBI, BODI YA MAZIWA WAGAWA MAZIWA KWA WATU WENYE UHITAJI JIJINI DODOMA
Charles James, Michuzi TV
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Bodi ya Maziwa na Heifer Internationl wahamasisha unywaji wa maziwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SiHdKbL_jnw/U4xG11RWjVI/AAAAAAAFnM0/NQczQCFkT1U/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDc_4X2Zon4/U4xG2z7oonI/AAAAAAAFnM8/khWTVoZxCZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jTHF2VJUw7k/U4xG32ev_dI/AAAAAAAFnNE/VvNFQPY4XOM/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s72-c/IMG-20150706-WA0053.jpg)
MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s1600/IMG-20150706-WA0053.jpg)
Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.
Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania