Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia
![](http://3.bp.blogspot.com/-2YUZFmVfcs0/VTdaPqnL1TI/AAAAAAAHSd8/XHi9YOCOuNM/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Mhe Jenista Mhagama tarehe 21 April 2015 alifanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia. Dhumuni ya ziara hiyo ilikuwa ni kujifunza taratibu na mambo mbali mbali yanayohusiana na Bunge la Zambia. Katika ziara hiyo Mhe Waziri aliongozana na Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Balozi Grace J. Mujuma.Mhe. Jenista Mhagama na Mhe Balozi Grace Mujuma wakipewa maelezo na Spika wa Bunge la Zambia Jaji, Dkt. Patrick...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bDmn0HsVPGk/Uu9UH7pQ-sI/AAAAAAAFKkI/U3Iw-QCJfg8/s72-c/b1.jpg)
NAIBU WA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Mhe. JENISTA MHAGAMA ATEMBELEA BODI YA MIKOPO
![](http://1.bp.blogspot.com/-bDmn0HsVPGk/Uu9UH7pQ-sI/AAAAAAAFKkI/U3Iw-QCJfg8/s1600/b1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBj34chFglo/Uu9UN_wJFNI/AAAAAAAFKkQ/y0CzgrbfGg4/s1600/b3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IJiW8VB4luo/Uu9UTj5wFfI/AAAAAAAFKkg/CcnbtbcGjNk/s1600/b5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6cWV-OdvY7U/Uu9UOGHwgWI/AAAAAAAFKkc/Kr5oTzBtWD8/s1600/b2.jpg)
Naibu Waziri Mhe. Jenista Mhagama (kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U64EL1aN0YU/U9OvvKTQYmI/AAAAAAAF6lw/OgSHtm37b00/s72-c/Untitled.png)
Mhe. Prof. Mark Mwandosya afanya ziara katika Mamlaka Za Udhibiti Nchini
Katika ziara yake hiyo Waziri Prof. Mwandosya alieleza...
10 years ago
VijimamboMhe. Ummy Mwalimu afanya ziara ya ukaguzi wa mazingira katika kiwanda cha OK Plastic
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FteaICCXhYA/VbZUWT3Zz-I/AAAAAAAHsF0/nqA9cCgsJW8/s72-c/IMGL0066.jpg)
RAIS KIKWETE AFANYA ZIARA YA KISERIKALI AUSTRALIA, ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA VITA NA KUONGEA NA JUMUIA YA WATANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FteaICCXhYA/VbZUWT3Zz-I/AAAAAAAHsF0/nqA9cCgsJW8/s640/IMGL0066.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cn9OCvFaWWk/VbZUXeF5IUI/AAAAAAAHsGE/GbElJA5Yj2k/s640/j2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Rais Kikwete afanya ziara ya kiserikali Australia, atembelea makumbusho ya vita na kuongea na jumuiya ya Watanzania
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kijeshi wa Fairbairn mjini Canberra katika siku ya mwanzo ya ziara yake Rasmi ya siku nne ya Kiserikali nchini Australia.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembezwa katika jumba la Makumbusho ya Taifa ya vita – Australian War Memorial – mjini Canberra zilikohifadhiwa kumbukumbu mbalimbali ambayo zinazoonesha jinsi Australia ilishiriki kwenye vita mbalimbali katika siku ya mwanzo ya...
10 years ago
IPPmedia19 Oct
Deputy Education Minister, Jenista Mhagama
IPPmedia
IPPmedia
Form one registration is here again as parents and guardians strive to secure the best private secondary schools for their children by booking for an entrance examination through a registration form that costs between Sh10,000 and Sh20,000. This follows the ...
10 years ago
MichuziMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad awasili nchini Qatar kwa ziara ya siku nne ya kiserikali.