Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJANA WAASWA KUJITAMBUA ILI KUONDOKANA NA UMASKINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha Maafisa Vijana (hawapo pichani) kilichofanyika jana mjini Tabora,kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi. Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi akitoa mada kuhusu majukumu ya Maafisa Vijana wakati… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tuitumie michezo kuondokana na umaskini

>Alhamisi, Julai 9 mwaka huu wakati akivunja Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete aliainisha miongoni mafanikio yake katika sekta ya michezo kwa miaka 10 ya uongozi wake.

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WALIOTIMIZA MIAKA 18 WAASWA KUPIGA KURA ILI KUCHAGUA VIONGOZI WANAO WATAKA.

Na Avila Kakingo,Globu ya jamii.VIJANA waliotimiza miaka 18 kwa mwaka huu waaswa kupiga kura ili kumchagua kiongozi wanaemtaka na watambue mchango wao katika jamii kwa kupiga kura  kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Nae Mwenyekiti wa  asasi isiyo ya kiserikali Tanzania People  with Disabilities Organization (TAPWAO), Michael  Mwanzalima ameomba tume ya uchaguzi  kutoa vipaumbele kwa  walemavu wa viungo mbalimbali siku ya kupiga kura ili isiwe kikwazo kwao katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25...

 

10 years ago

Michuzi

UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI - BALOZI MANONGI

Na Mwandishi Maalum, New York  Tanzania, kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, imeelezea kuridhishwa kwake na namna ambavyo Mashirika ya Kimataifa naTaasisi binafsi zinavyoshirikiana na kwa karibu na serikali na taasisi zake kuimarisha sekta ya uvuvi. Ushirikiano huo umeifanya sekta ya uvuvi nchini kuwa wenye tija na hivyo kuchangia katika ongezeko la kupato na kuwaondoa katika umaskini jamii ya watanzania ambao maisha yao ya kila...

 

10 years ago

Vijimambo

UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI-BALOZI MANONGI

picha hii ya maktaba inawaonyesha wavuvi wakirejea pwani baada ya shughuli ya kuvua samaki, inaelezwa kwamba wavuvi wadogo kama hawa wakiwezeshwa siyo tu wanajiongezea kipato chao lakini pia inawasidia katika utunzaji wa mazingira ya bahari .Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akibadilishana mawazo na Balozi Manongi, mshiriki huyu kutoka Norway katika maelezo yake amesema anafanya kazi kwa karibu na serikali ya TanzaniaPichani ni sehemu ya washiriki wa mkutano huo wa pembezoniBalozi...

 

11 years ago

Mwananchi

Waaswa kuondokana na kilimo cha mazoea

>Wakulima wameaswa kuondokana na kilimo cha mazoea, badala yake watumie kanuni bora za kilimo ili  waweze kuongeza kiwango cha uzalishaji na kipato katika familia zao.

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WATAKIWA KUONDOKANA NA KUTEGEMEA AJIRA ZA SERIKALINI

 Vijana Mkoani Kagera wametakiwa kuondokana na kutegemea ajira toka serikalini badala yake wajijengee mazingira ya kuwezeshwa kwa kukaa katika makundi ili wanufaike na fursa mbali mbali zitolewazo na serikali.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, Ajira, Sera na watu wenye ulemavu Mhe, Anthony Mavunde katika Kongamano la Umoja wa vijana CCM mkoa wa Kagera chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Happiness Runyogote katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunahitaji kubadilika ili kuondoa umaskini

Nakumbuka nilipokuwa bado kijana katika mkoa nilioishi kulikuwa na matajiri kadhaa ambao sisi tuliwaona wametuzidi.

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AWASHA MOTO IGUNGA,AWAMWAGIA SIFA LUKUKI VIONGOZI VIJANA WA WILAYA HIYO KWA UBUNIFU WA MIRADI YA VIJANA YA KUJIKWAMUA NA UMASKINI


Katibu MKuu wa CCM,Ndugu Kinana akikata utepe kuashiria uzinduzi wa wakala wa uuzaji wa matrekta kwa wanavikundi,yanayouzwa na Vijana SACCOS LTD,ya Igunga,inayojumuisha vikundi mbalimbali vya wilaya hiyo,wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali pamoja na wananchi wilayani humo,Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Igunga,Mh.Elibariki Kingu. Ndugu Kinana akiwasha moja ya trekta mara baada ya kuuzindua uwakala wa zana za kilimo wa Vijana SACCOS LTD wilayani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani