Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Tuitumie michezo kuondokana na umaskini

>Alhamisi, Julai 9 mwaka huu wakati akivunja Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete aliainisha miongoni mafanikio yake katika sekta ya michezo kwa miaka 10 ya uongozi wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VIJANA WAASWA KUJITAMBUA ILI KUONDOKANA NA UMASKINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akifafanua jambo wakati wa Kikao kazi cha Maafisa Vijana (hawapo pichani) kilichofanyika jana mjini Tabora,kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi. Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini Bw. James Kajugusi akitoa mada kuhusu majukumu ya Maafisa Vijana wakati… ...

 

10 years ago

Michuzi

UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI - BALOZI MANONGI

Na Mwandishi Maalum, New York  Tanzania, kupitia Mwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, imeelezea kuridhishwa kwake na namna ambavyo Mashirika ya Kimataifa naTaasisi binafsi zinavyoshirikiana na kwa karibu na serikali na taasisi zake kuimarisha sekta ya uvuvi. Ushirikiano huo umeifanya sekta ya uvuvi nchini kuwa wenye tija na hivyo kuchangia katika ongezeko la kupato na kuwaondoa katika umaskini jamii ya watanzania ambao maisha yao ya kila...

 

10 years ago

Vijimambo

UVUVI ENDELEVU UTAWASAIDIA WAVUVI KUONDOKANA NA UMASKINI-BALOZI MANONGI

picha hii ya maktaba inawaonyesha wavuvi wakirejea pwani baada ya shughuli ya kuvua samaki, inaelezwa kwamba wavuvi wadogo kama hawa wakiwezeshwa siyo tu wanajiongezea kipato chao lakini pia inawasidia katika utunzaji wa mazingira ya bahari .Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akibadilishana mawazo na Balozi Manongi, mshiriki huyu kutoka Norway katika maelezo yake amesema anafanya kazi kwa karibu na serikali ya TanzaniaPichani ni sehemu ya washiriki wa mkutano huo wa pembezoniBalozi...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Ni aibu michezo kujiendesha kama yatima

Ni dhahiri kwamba nchi yetu itasubiri kwa muda mrefu kabla ya kuanza kuchuma kutoka kwenye sekta ya michezo inayoonekana wazi haina mwenyewe.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo

>Mashindano ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari (Umisseta) yanaendelea katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na mashindano ya shule za msingi taifa (Umitashumta) yakianza leo.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tumedharau michezo, wenzetu wanavuna fedha

>Miezi michache imebaki kabla ya Tanzania kuungana na mataifa mengine zaidi ya 50 ya Afrika kwenye michezo ya bara hili iliyopangwa kufanyika Septemba huko Kongo-Brazaville.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuitumie Wiki ya Mandela kujifunza

TAKRIBANI mwaka mmoja unakaribia tangu kumpoteza shujaa wa dunia aliyepiga vita ubaguzi wa rangi, Nelson Mandela ‘Madiba’ aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini. Mandela ni miongoni mwa mashujaa wakubwa katika bara...

 

9 years ago

Mtanzania

Boniventura: Tuitumie mitandao ya kijamii kujiendeleza kielimu

hakielimu-sept26-2015NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MA F A N I K I O na matokeo mazuri ya elimu kwa wanafunzi yanatokana na juhudi za mwalimu na mzazi kwa kumjengea mtoto mazingira mazuri ya kujifunzia.

Kutokana na hali hiyo, zipo shule mbalimbali ambazo walimu pamoja na wazazi wameungana kwa pamoja kuhakikisha wanawasaidia watoto wao kwa lengo la kuwapatia elimu bora yenye manufaa katika jamii.

Shule ya Sekondari ya Victor iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hoja ya mawaziri mizigo tuitumie kutafakari mamlaka ya rais

KATI ya mambo ambayo ni ya ajabu sana kwa Watanzania wengi, ni kushabikia masuala yasiyo na faida, kuyajadili halafu wanaacha kujadili mambo ambayo yanatufanya tuwe na maisha mafupi na ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani