Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Tumedharau michezo, wenzetu wanavuna fedha

>Miezi michache imebaki kabla ya Tanzania kuungana na mataifa mengine zaidi ya 50 ya Afrika kwenye michezo ya bara hili iliyopangwa kufanyika Septemba huko Kongo-Brazaville.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tujifunze umuhimu wa michezo kwa wenzetu

Mashindano ya 13 ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa) yalifunguliwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tuitumie michezo kuondokana na umaskini

>Alhamisi, Julai 9 mwaka huu wakati akivunja Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete aliainisha miongoni mafanikio yake katika sekta ya michezo kwa miaka 10 ya uongozi wake.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Ni aibu michezo kujiendesha kama yatima

Ni dhahiri kwamba nchi yetu itasubiri kwa muda mrefu kabla ya kuanza kuchuma kutoka kwenye sekta ya michezo inayoonekana wazi haina mwenyewe.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo

>Mashindano ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari (Umisseta) yanaendelea katika Viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na mashindano ya shule za msingi taifa (Umitashumta) yakianza leo.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Wafadhili wameruhusu fedha, tusibweteke

>Tanzania ni kati ya mataifa ya Afrika yanayopata misaada ya maendeleo kutoka mataifa wahisani na jumuiya za kimataifa, kwa taratibu zilizowekwa, lengo likiwa kufikia malengo yake kiuchumi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

KURA YA MAONI: Wanaoipinga wapatiwe fedha za serikali

MCHAKATO  wa kuandika Katiba mpya umetawaliwa na vimbwanga tangu kuanza kwake hadi hapa tulipofikia.  Karibu kila hatua inakuwa na matukio ambayo baadhi yake yanatishia kuufanya mchakato huo usiweze kuipatia nchi...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi

Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi

 

10 years ago

Vijimambo

MAONI YA MWIGULU NCHEMBA,FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KWA WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU

EXCLUSEIVEEEEE KUTOKA DODOMA
COMRADE MWIGULU NCHEMBA AKATAA FEDHA ZA UMMA ZILIZOBAKIA BUNGE LA KATIBA KUTAFUNWA NA WAJUMBE WA BUNGE HILO,AAGIZA FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KUSAIDIA WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU,KUJENGEA VITUO VYA AFYA NA KUSAIDIA MASIKINI.
Mwigulu Nchemba asema fedha zitakazookolewa kutokana na kutokuendelea bunge maalumu zipeslekwe kuwalipia ada vijana waliokosa mikopo ya elimu ya juu.

Sokoine wa Pili ndugu Mwigulu Nchemba ameshauri fedha...

 

5 years ago

CCM Blog

BUNGE LIMERIDHIA NA KUPITISHA TSH. BILIONI 40 KWA WIZARA YA HABARI, SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021

Na.Faustine Gimu Galafoni ,Dodoma.Katika  kutekeleza majukumu ya Wizara kwa mwaka 2020/21 Bunge limeridhia  na kuidhinisha Bajeti ya Wizara ya Habari ,Sanaa,Utamaduni na Michezo  kwa mwaka 2020/21 ya jumla ya Shilingi Bilioni Arobaini, Milioni Mia Moja Arobaini, Mia Sita Arobaini na Moja Elfu (Sh. 40,140,641,000).

Akiwasilisha  hotuba ya Madirio na Matumizi  ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2020/2021      Bungeni jijini Dodoma leo April 22,2020 Waziri Wa Habari,Sanaa ,Utamaduni na Michezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani