Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Wafadhili wameruhusu fedha, tusibweteke

>Tanzania ni kati ya mataifa ya Afrika yanayopata misaada ya maendeleo kutoka mataifa wahisani na jumuiya za kimataifa, kwa taratibu zilizowekwa, lengo likiwa kufikia malengo yake kiuchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

JK: Kuweni wazi na fedha za wafadhili

RAIS Jakaya Kikwete amezitaka asasi za kiraia kuweka wazi fedha wanazozipata kutoka kwa wafadhili na namna wanavyozitumia, na wanapotakiwa na Serikali kutoa taarifa hizo wasione kama wanaingiliwa utendaji wao.

 

5 years ago

Michuzi

NGOs WEKENI WAZI MATUMIZI YA FEDHA ZA WAFADHILI-WAZIRI UMMY



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na viongozi wa Wizara mbalimbali na wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati wa Uzinduzi wa Muongozo wa Uratibu wa Masirika Yasiyo ya Kiserikali Tanzania Bara leo (17/06/2020) Jijini Dodoma.Katibu Mkuu Wizara wa Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt....

 

10 years ago

Mwananchi

Ukimwi bado upo, tusibweteke tuchukue hatua

Dunia yote leo inafanya kumbukumbu ya siku ya Ukimwi, ugonjwa ambao kwa zaidi ya miaka 30 umeitetemesha jamii kutokana na kutokuwa na tiba wala kinga.

 

10 years ago

Tanzania Daima

KURA YA MAONI: Wanaoipinga wapatiwe fedha za serikali

MCHAKATO  wa kuandika Katiba mpya umetawaliwa na vimbwanga tangu kuanza kwake hadi hapa tulipofikia.  Karibu kila hatua inakuwa na matukio ambayo baadhi yake yanatishia kuufanya mchakato huo usiweze kuipatia nchi...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tumedharau michezo, wenzetu wanavuna fedha

>Miezi michache imebaki kabla ya Tanzania kuungana na mataifa mengine zaidi ya 50 ya Afrika kwenye michezo ya bara hili iliyopangwa kufanyika Septemba huko Kongo-Brazaville.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi

Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi

 

10 years ago

Vijimambo

MAONI YA MWIGULU NCHEMBA,FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KWA WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU

EXCLUSEIVEEEEE KUTOKA DODOMA
COMRADE MWIGULU NCHEMBA AKATAA FEDHA ZA UMMA ZILIZOBAKIA BUNGE LA KATIBA KUTAFUNWA NA WAJUMBE WA BUNGE HILO,AAGIZA FEDHA ZOTE ZILIZOSALIA BUNGE LA KATIBA ZIELEKEZWE KUSAIDIA WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU,KUJENGEA VITUO VYA AFYA NA KUSAIDIA MASIKINI.
Mwigulu Nchemba asema fedha zitakazookolewa kutokana na kutokuendelea bunge maalumu zipeslekwe kuwalipia ada vijana waliokosa mikopo ya elimu ya juu.

Sokoine wa Pili ndugu Mwigulu Nchemba ameshauri fedha...

 

5 years ago

Michuzi

KUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO



 
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana. 
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Ubadhirifu wakimbiza wafadhili

Kamati ya Shirika la New Yearly Meeting la Marekani, imesitisha ufadhili wa wanafunzi wanaosoma elimu ya juu, vyuo mbalimbali na ujenzi wa nyumba za walimu shule ya msingi na sekondari Kisangura, wilayani Serengeti kutokana na jamii kutotoa ushirikiano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani