Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGOs WEKENI WAZI MATUMIZI YA FEDHA ZA WAFADHILI-WAZIRI UMMY



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na viongozi wa Wizara mbalimbali na wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati wa Uzinduzi wa Muongozo wa Uratibu wa Masirika Yasiyo ya Kiserikali Tanzania Bara leo (17/06/2020) Jijini Dodoma.Katibu Mkuu Wizara wa Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

JK: Kuweni wazi na fedha za wafadhili

RAIS Jakaya Kikwete amezitaka asasi za kiraia kuweka wazi fedha wanazozipata kutoka kwa wafadhili na namna wanavyozitumia, na wanapotakiwa na Serikali kutoa taarifa hizo wasione kama wanaingiliwa utendaji wao.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI UMMY AWASIHI WAZAZI KUWASIMAMIA WATOTO KATIKA MATUMIZI YA VIFAA VYA KIELETRONIKI



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dodoma kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika (kushoto) ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Mtoto, Sebastian Kitiku.Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Mtoto Sebastian Kitiku akifafanua jambo kwa...

 

11 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI

WAZIRI WA FEDHA  WA ZANZIBAR MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE AKIINGIIA KATIKA UKUNBU WA BARAZA LA  WAWAKILISHI LEO

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matumizi fedha za mradi yamfurahisha waziri

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama amefurahishwa na matumizi mazuri ya fedha za mradi wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu unaolenga kuboresha sayansi na teknojia...

 

11 years ago

Mwananchi

Exim: Wekeni fedha benki

>Benki ya Exim Tanzania imewashauri wananchi kutumia huduma za fedha za kibenki kwa ajili ya usalama na maendeleo yao.

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI 2015/16

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya hivi sasa anawasilisha bungeni hotuba ya mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2015/16.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Fedha afanya ukaguzi wa matumizi wa mashine za EFD katika maduka mkoani Dodoma

SONY DSC

Mh.Waziri wa Fedha Saada M. Salum (MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.

Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum amefanya ukaguzi wa ghafla katika baadhi ya maduka Mkoani Dodoma ili kuona kama maelekezo ya Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD yanatekelezwa ipasavyo.

Katika ukaguzi huo ambao ulihusisha maduka ya kuuza thamani za majumbani,nguo na maduka ya kuuza bidhaa mchanganyiko (Min...

 

5 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/21

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Lazaro Ndalichako.

 

10 years ago

Michuzi

MH.WAZIRI WA FEDHA SAADA M.SALUM AFANYA UKAGUZI WA MATUMIZI WA MASHINE ZA EFD KATIKA MADUKA MKOANI DODOMA.

1Mh.Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum(MB) akitoa maelekezo kwa Meneja wa TRA mkoani Dodoma (mwenye miwani) na wakala wa TRA kutoka Yono Action Mart kulifunga duka la Salome Furniture baada ya kukutwa akifanya biashara bila ya kutumia risiti za mashine ya EFD.2Mh.Waziri wa Fedha Mhe. Saada M.Salum(MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.3Waziri wa Fedha Mh. Saada M.Salum(MB) akiwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani