Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KESI YA GHOROFA YAHAIRISHWA

   Mmoja wa watuhumiwa akitoka kwa hakimu.
   Watuhumiwa wakishuka ngazi.
   Mtuhumiwa akikwepa mwanga wa kamera ya GPL…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Rugulika yahairishwa Burundi

Mahakama ya Burundi imeahirisha kesi inayomkabili mwandishi wa habari Bob RUGURIKA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya ghorofa yaahirishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Michezo ya Olimpiki yahairishwa rasmi

Tokyo 2020 yahairishwa hadi mwaka ujao.

 

9 years ago

Mwananchi

Ghorofa la Sh500milioni labomolewa

Oparesheni ya bomoabomoa imeendelea kutikisa jijini Dar es Salaam huku ikiacha vilio na simanzi kwa wamiliki wa nyumba, likiwamo ghorofa mali ya mfanyabiashara lililojengwa kwa Sh500 milioni miaka 20 iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi wa ghorofa wasitishwa

UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, umezuia ujenzi wa jengo la ghorofa linalojengwa mkabala na Benki ya NMB kutokana na kuwa na nyufa kwenye kuta na nguzo zake. Zuio...

 

10 years ago

Mtanzania

Watano waangukiwa na ukuta wa ghorofa

CLARA MATIMO NA ABUBAKARI, MWANZA
WATU watano wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na ukuta walipokuwa wakijenga ghorofa katika barabara ya Nyerere, Kata ya Pamba,Wilaya ya Nyamagana, Mwanza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema ghorofa hilo liliporomoka baada ya mafundi wa Kampuni ya Exactline ya Mwanza, kuchimba mashimo ya kuweka nguzo za jengo hilo.
Mmoja wa mashuhuda hao, Twahili Hussein alisema watu hao walikuwa kwenye mashimo matatu tofauti na...

 

11 years ago

Mwananchi

Meya asimamisha ujenzi wa ghorofa

Ujenzi wa ghorofa uliokuwa unaendelea mkabala na Benki ya NMB mjini Shinyanga, umesimamishwa kutokana na kudaiwa kujengwa chini ya kiwango.

 

11 years ago

Habarileo

Mkanyageni kupata shule ya ghorofa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuweka mikakati ya kuimarisha huduma za elimu pamoja na kujenga shule za sekondari za kisasa zenye huduma zote muhimu kwa wanafunzi.

 

10 years ago

Michuzi

JENGO LA GHOROFA 16 KUBOMOLEWA JIJINI DAR.

Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.JENGO la ghorofa 16 lililopo mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es Salaam linatarajiwa kubomolewa kwa kuwa linadaiwa kujengwa chini ya kuiwango.


 Amri hiyo imetolewa na  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam

Uwepo wa jingo hilo ambalo limejengwa chini ya kiwango limezua hofu kubwa kwa wakazi wa eneo hilo,kwani jingo hilo lipo karibu na jingo jingine lililokuwa na ghorofa 16 ambalo lilianguka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani