KESI YA GHOROFA YAHAIRISHWA
![](http://api.ning.com:80/files/jPrLLXuRuu4vQhgsIeu82gvF7nszWiJk8OIWZt1Swh04SDVzKUFJedNfzpNnAJOmbFnoo4mzGhFonVtukAgwqfvV8wG9X2qh/1.jpg?width=650)
  Mmoja wa watuhumiwa akitoka kwa hakimu.   Watuhumiwa wakishuka ngazi.   Mtuhumiwa akikwepa mwanga wa kamera ya GPL…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Kesi ya Rugulika yahairishwa Burundi
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Kesi ya ghorofa yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Ghorofa la Sh500milioni labomolewa
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Ujenzi wa ghorofa wasitishwa
UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, umezuia ujenzi wa jengo la ghorofa linalojengwa mkabala na Benki ya NMB kutokana na kuwa na nyufa kwenye kuta na nguzo zake. Zuio...
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Watano waangukiwa na ukuta wa ghorofa
CLARA MATIMO NA ABUBAKARI, MWANZA
WATU watano wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na ukuta walipokuwa wakijenga ghorofa katika barabara ya Nyerere, Kata ya Pamba,Wilaya ya Nyamagana, Mwanza.
Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema ghorofa hilo liliporomoka baada ya mafundi wa Kampuni ya Exactline ya Mwanza, kuchimba mashimo ya kuweka nguzo za jengo hilo.
Mmoja wa mashuhuda hao, Twahili Hussein alisema watu hao walikuwa kwenye mashimo matatu tofauti na...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Meya asimamisha ujenzi wa ghorofa
11 years ago
Habarileo01 Jan
Mkanyageni kupata shule ya ghorofa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuweka mikakati ya kuimarisha huduma za elimu pamoja na kujenga shule za sekondari za kisasa zenye huduma zote muhimu kwa wanafunzi.
10 years ago
MichuziJENGO LA GHOROFA 16 KUBOMOLEWA JIJINI DAR.
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es SalaamUwepo wa jingo hilo ambalo limejengwa chini ya kiwango limezua hofu kubwa kwa wakazi wa eneo hilo,kwani jingo hilo lipo karibu na jingo jingine lililokuwa na ghorofa 16 ambalo lilianguka...