LUCIAN NA FABIAN JOSEPH WATAMBA ARUSHA TOURISM MARATHON
![](http://2.bp.blogspot.com/-HdDilBsjTM0/VoDzsHvRivI/AAAAAAAAP30/cLJv5Zif8Xs/s72-c/IMG-20151227-WA0017.jpg)
Afisa utalii wa tanapa fredy shirima akiwa anamkabidhi zawadi Mwanariadha Reginal Lucian baada ya kushinda kilometa 42,baada ya kukimbia kwa muda wa 1:00:05.
Baadhi ya wanariadha walifanikiwa kupata zawadi katika shindano Arusha tourism Marathon wakiwa katika picha ya pamoja .
Na Woinde Shizza,Arusha
Mwanariadha Reginal Lucian alifanikiwa kushinda kwa upande wawanaume,katika shindano la Arusha Tourism Marathon baada ya kutumiamuda wa 1:00:05,akifatiliwa na mwanariadha wa kimataifa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Fabian Joseph, Jackline Sekilu mabingwa Sokoine Min Marathon 2014
BINGWA wa mbio za Edmund World Half Marathon nchini Canada mwaka 2005, Fabian Joseph, na bingwa wa Kili Marathon 2014 kwa wanawake, Jackline Sekilu, wameibuka washindi wa Sokoine Min Marathon...
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Wakenya watamba London Marathon
9 years ago
Habarileo20 Dec
Baiskeli Arusha watamba Karatu
MKOA wa Arusha jana ulitamba katika tamasha la 14 la michezo na utamaduni la Karatu baada ya kushika nafasi 14 za kwanza katika mchezo wa mbio za baiskeli za kilometa 60 kwa wanaume.
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Dar watamba mbio za magari zilizofanyika Arusha
Mwendesha magari Randeep Shingh kutoka jijini Dar es Salam ameibuka mshindi katika mashindano ya kila mwaka ya mbio za nyika za magari nane-nane rally yaliyotimua vumbi katika mji wa Arusha mwishoni mwa wiki.
Mashindano hayo yamefanykia kwa siku mbili mfululizo huku yakishuhudiwa ushindani mkali kwa madereva hao waliotoka mikoa mbalimbali na Randeep Shingh akiwa na msoma ramani Guvinder Singh wa gari ya Mitsubishi lancer akiibuka mshindi...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Arusha, HYAC zang’ara Bagamoyo Marathon
WANARIADHA Ismail Juma na Jackline Sakilu wametwaa taji la mbio za kihistoria za Bagamayo Half Marathon 2014 zilizofanyika mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki. Juma kutoka Arusha alishinda kwa wanaume kilomita...
10 years ago
ETurboNews19 Aug
Security concern cancels Arusha's Safari Marathon
eTurboNews
eTurboNews
In a terse email just received from the organizers of the annual Safari Marathon in Arusha did sad news emerge for athletics supporters and marathon enthusiasts. Start quote: Dear participants, fans and sponsors; we regret to inform you that Safari Marathon ...
11 years ago
TheCitizen10 Jul
Arusha terror ‘is beyond tourism, politics’
10 years ago
TheCitizen26 Aug
Arusha to host meeting on tourism
10 years ago
ETurboNews19 Nov
Bad consequence for Arusha's tourism sector
eTurboNews
Several sources were swift to offer their comments and their interpretation of what the causes of an Arusha's Maasai Curio Market fire were, all agreeing though on one issue, that it very likely was an act of arson, before several “reasons” were advanced and ...