Baiskeli Arusha watamba Karatu
MKOA wa Arusha jana ulitamba katika tamasha la 14 la michezo na utamaduni la Karatu baada ya kushika nafasi 14 za kwanza katika mchezo wa mbio za baiskeli za kilometa 60 kwa wanaume.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Dar watamba mbio za magari zilizofanyika Arusha
Mwendesha magari Randeep Shingh kutoka jijini Dar es Salam ameibuka mshindi katika mashindano ya kila mwaka ya mbio za nyika za magari nane-nane rally yaliyotimua vumbi katika mji wa Arusha mwishoni mwa wiki.
Mashindano hayo yamefanykia kwa siku mbili mfululizo huku yakishuhudiwa ushindani mkali kwa madereva hao waliotoka mikoa mbalimbali na Randeep Shingh akiwa na msoma ramani Guvinder Singh wa gari ya Mitsubishi lancer akiibuka mshindi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HdDilBsjTM0/VoDzsHvRivI/AAAAAAAAP30/cLJv5Zif8Xs/s72-c/IMG-20151227-WA0017.jpg)
LUCIAN NA FABIAN JOSEPH WATAMBA ARUSHA TOURISM MARATHON
![](http://2.bp.blogspot.com/-HdDilBsjTM0/VoDzsHvRivI/AAAAAAAAP30/cLJv5Zif8Xs/s640/IMG-20151227-WA0017.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2QhPa4Umsuo/VoDzyfKUmVI/AAAAAAAAP38/2AP1l9omAQY/s640/IMG-20151227-WA0010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RHGO0zZruRU/VoDz0k1VZFI/AAAAAAAAP4E/9tqV0fYK63o/s640/IMG-20151227-WA0014.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha
Mwanariadha Reginal Lucian alifanikiwa kushinda kwa upande wawanaume,katika shindano la Arusha Tourism Marathon baada ya kutumiamuda wa 1:00:05,akifatiliwa na mwanariadha wa kimataifa,...
11 years ago
TheCitizen05 Feb
Arusha High Court Division to open branch in Karatu
10 years ago
Daily News25 Jul
Lema to defend Arusha city seat as Qambalo okayed for Karatu
Daily News
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) party members in Arusha city have once more endorsed Mr Godbless Lema to vie for the Arusha Urban constituency seat in the October 2015 general elections. The party's preferential election in Arusha ...
10 years ago
VijimamboMWILI WA MKE WA MWANAHABARI THOBIAS MWANAKATWE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM KUZIKWA KARATU MKOANI ARUSHA
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
Mwili wa mke wa mwanahabari Thobias Mwanakatwe waagwa Jijini Dar, mazishi kufanyika leo Karatu mkoani Arusha
Mhariri wa Gazeti la Nipashe, Jesse Kwayu (kushoto), na waombolezaji wengine wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mke wa mwanahabari wa Kampuni ya The Guardian, Thobias Mwanakatwe, Levina Genda wakati wakilipekeka kwenye gari tayari kwa safari ya kwenda Karatu mkoani Arusha kwa mazishi yatakayofanyika leo.
Mwanahabari wa Kampuni ya The Guardian Ltd, Thobias Mwanakatwe akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa mke wake, Levina Genda wakati wa ibada ya kumuaga iliyofanyika...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli Elvis Munis “Lelo” kutoka Chile hadi Kilimanjaro apokelewa jijini Arusha kwa shwangwe
Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.
10 years ago
Habarileo02 Aug
Simba Queens watamba
TIMU ya soka wasichana ya Simba Queens jana iliibuka na ushindi wa 2 – 0 dhidi ya timu ya Ilala katika michuano ya vijana ya U-17 ya Airtel Rising Stars kwa mkoa wa kisoka wa Ilala.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Murray, Nadal watamba