Simba Queens watamba
TIMU ya soka wasichana ya Simba Queens jana iliibuka na ushindi wa 2 – 0 dhidi ya timu ya Ilala katika michuano ya vijana ya U-17 ya Airtel Rising Stars kwa mkoa wa kisoka wa Ilala.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Sep
Mapro watamba Yanga, Simba
WACHEZAJI watano wa kulipwa wa Yanga na Simba, jana walionesha thamani yao baada ya kuziwezesha timu hizo kuibuka na pointi zote tatu katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) liliruhusu timu kusajili hadi wachezaji saba wa kigeni, lakini wenye viwango na sio wale wenye uwezo wa kawaida.
10 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mwanza Queens waichapa Mara Queens Goli 6 kwa 1 katika mechi ya uzinduzi wa Women Taifa Cup jijini Mwanza leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL59ireTssc/VKVmwlHxNfI/AAAAAAAAds0/DcxR81oF1U4/s1600/IMG-20150101-WA0063.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gGfnzdlELY/VKVmZb_-3GI/AAAAAAAAdsE/geupwHG02DE/s1600/IMG-20150101-WA0057.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_8c2vkIZEN0/VKVmBEPiLII/AAAAAAAAdr8/Hz-b-iqYLdY/s72-c/IMG-20150101-WA0055.jpg)
MWANZA QUEENS WAICHAPA MARA QUEENS GOLI 6 KWA 1 KATIKA MECHI YA UZINDUZI WA WOMEN TAIFA CUP MCHEZO ULIOCHEZWA JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_8c2vkIZEN0/VKVmBEPiLII/AAAAAAAAdr8/Hz-b-iqYLdY/s1600/IMG-20150101-WA0055.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL59ireTssc/VKVmwlHxNfI/AAAAAAAAds0/DcxR81oF1U4/s1600/IMG-20150101-WA0063.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8gGfnzdlELY/VKVmZb_-3GI/AAAAAAAAdsE/geupwHG02DE/s1600/IMG-20150101-WA0057.jpg)
9 years ago
Habarileo30 Aug
Mabondia watamba kushinda
KUNDI la kwanza la timu ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya 11 ya Mataifa ya Afrika linaondoka leo kwenda Brazzaville, Congo huku timu ya ngumi ikitamba kufanya vizuri katika michezo hiyo.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Murray, Nadal watamba
10 years ago
Mwananchi16 Jul
Kidato cha sita watamba
9 years ago
Habarileo20 Dec
Baiskeli Arusha watamba Karatu
MKOA wa Arusha jana ulitamba katika tamasha la 14 la michezo na utamaduni la Karatu baada ya kushika nafasi 14 za kwanza katika mchezo wa mbio za baiskeli za kilometa 60 kwa wanaume.
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Wakenya watamba London Marathon