Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabondia watamba kushinda

KUNDI la kwanza la timu ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya 11 ya Mataifa ya Afrika linaondoka leo kwenda Brazzaville, Congo huku timu ya ngumi ikitamba kufanya vizuri katika michezo hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Murray, Nadal watamba

Muingereza Andy Murray anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani ameanza vema michuano ya dunia ya tenesi

 

10 years ago

Habarileo

Simba Queens watamba

TIMU ya soka wasichana ya Simba Queens jana iliibuka na ushindi wa 2 – 0 dhidi ya timu ya Ilala katika michuano ya vijana ya U-17 ya Airtel Rising Stars kwa mkoa wa kisoka wa Ilala.

 

10 years ago

Mwananchi

Kidato cha sita watamba

Wanafunzi 38,853 wamefaulu mitihani yao ya kidato cha sita kati ya watahiniwa 40,753 waliofanya mtihani huo mwaka huu, huku matokeo yakionyesha kuwa shule za Serikali na binafsi zimeenda sambamba.

 

9 years ago

Habarileo

Mapro watamba Yanga, Simba

WACHEZAJI watano wa kulipwa wa Yanga na Simba, jana walionesha thamani yao baada ya kuziwezesha timu hizo kuibuka na pointi zote tatu katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) liliruhusu timu kusajili hadi wachezaji saba wa kigeni, lakini wenye viwango na sio wale wenye uwezo wa kawaida.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya watamba London Marathon

Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.

 

9 years ago

Habarileo

Baiskeli Arusha watamba Karatu

MKOA wa Arusha jana ulitamba katika tamasha la 14 la michezo na utamaduni la Karatu baada ya kushika nafasi 14 za kwanza katika mchezo wa mbio za baiskeli za kilometa 60 kwa wanaume.

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu, Kiwia watamba kura za maoni

Baadhi ya wabunge wa Chadema wanaotetea viti vyao wameibuka kidedea katika kura za maoni zilizofanyika katika majimbo mbalimbali nchini jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam watamba kuifunga KCC ya Uganda

Mabingwa watetezi wa soka Tanzania bara, Azam FC wamepania kuwafunga KCC ya Uganda mechi ya ufunguzi kombe la Mapinduzi ya Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani