Mabondia watamba kushinda
KUNDI la kwanza la timu ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya 11 ya Mataifa ya Afrika linaondoka leo kwenda Brazzaville, Congo huku timu ya ngumi ikitamba kufanya vizuri katika michezo hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Murray, Nadal watamba
10 years ago
Habarileo02 Aug
Simba Queens watamba
TIMU ya soka wasichana ya Simba Queens jana iliibuka na ushindi wa 2 – 0 dhidi ya timu ya Ilala katika michuano ya vijana ya U-17 ya Airtel Rising Stars kwa mkoa wa kisoka wa Ilala.
10 years ago
Mwananchi16 Jul
Kidato cha sita watamba
9 years ago
Habarileo17 Sep
Mapro watamba Yanga, Simba
WACHEZAJI watano wa kulipwa wa Yanga na Simba, jana walionesha thamani yao baada ya kuziwezesha timu hizo kuibuka na pointi zote tatu katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) liliruhusu timu kusajili hadi wachezaji saba wa kigeni, lakini wenye viwango na sio wale wenye uwezo wa kawaida.
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Wakenya watamba London Marathon
9 years ago
Habarileo20 Dec
Baiskeli Arusha watamba Karatu
MKOA wa Arusha jana ulitamba katika tamasha la 14 la michezo na utamaduni la Karatu baada ya kushika nafasi 14 za kwanza katika mchezo wa mbio za baiskeli za kilometa 60 kwa wanaume.
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Sugu, Kiwia watamba kura za maoni
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Azam watamba kuifunga KCC ya Uganda