Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliko Dangote: Mtu tajiri zaidi Afrika apewa bei ya kuinunua Arsenal

Mtu tajiri zaidi barani AfrikaAliko Dangote hatimaye amepatiwa bei ya kuinunua klabu ya Ligi kuu ya England Arsenal.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mtu tajiri Afrika ataka kuinunua Arsenal

Mtu tajiri barani Afrika Aliko Dangote amesema kuwa bado anataka kuinunua kilabu ya Arsenal

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!

Tajiri wa kwanza Afrika, Aliko Dangote, amekiri kuwa bado ana mpango wa kuinunua club ya Arsenal licha ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 2010. Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 15.7 (£10.38bn) anawazidi walimiki wa sasa wa club hiyo, Stan Kroenke (£3.7bn) na Alisher Usmanov (£9.65bn). “Bado nina matumaini, siku moja kwa bei sahihi kwamba nitainunua […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Bilionea wa Afrika ataka kuinunua Arsenal

Mtu tajiri barani Afrika anataka kuinunua Arsenal.Aliko Dangote alijipatia mabilioni ya fedha kupitia biashara ya sukari na mafuta.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Africa's richest man: Aliko Dangote

Africa's richest man Aliko Dangote talks about his journey to success, why he is finally getting into the oil industry and how he avoids corruption.

 

9 years ago

Global Publishers

Aliko Dangote alivyomaliza ugomvi wa Don Jazzy na Olamide

imageOlamide  akipeana mkono na Don Jazzy.

DURU za muziki hivi sasa zinafahamu kwamba bifu lililokuwepo kati ya wasanii, Olamide na Don Jazzy, wote wa Nigeria, ambalo lilianzia katika tamasha la utoaji tuzo la Headies Award, ambapo mshindi wa jumla hujinyakulia gari, hivi sasa limemalizika.

Ugomvi huo uliokuwa wa maneno, ulikolezwa na kituo cha televisheni cha Live International na kusambaa hadi kwenye mtandao wa Twitter.
Hata hivyo, swali kubwa ambalo mashabiki walikuwa wakijiuliza ni kwamba:...

 

10 years ago

Habarileo

Dewji tajiri zaidi Afrika Mashariki

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mohammed `Mo’ Dewji (39), amezidi kupaa kwa utajiri, kiasi cha sasa kuwa ndiye bilionea kijana zaidi katika nchi za Afrika Mashariki, lakini pia akitajwa ndiye bilionea kijana zaidi barani Afrika.

 

10 years ago

Bongo5

Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!

Mohammed Dewji ndiye mtu tajiri zaidi nchini Tanzania, kwa mujibu wa orodha ya mwaka 2015 ya mtandao wa Forbes wa mabilionea 32 barani Afrika. Awali ni Rostam Aziz ndiye aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Forbes, Dewji mwenye umri wa miaka 39 ana utajiri wa dola bilioni 1.3. Utajiri huo unamfanya mfanyabiashara huyo ambaye […]

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MFANYABIASHARA ALIKO DANGOTE

Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika Aliko Dangote akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. Picha na OMR Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani