Dk. Bana: Rais hajaipa kipaumbele elimu
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana, amesema wananchi walitarajia katika hotuba ya kuaga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014 Rais Jakaya Kikwete angezungumzia sekta ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Sep
Shein atangaza elimu kuwa kipaumbele
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema sekta ya elimu itapewa kipaumbele cha kwanza akirejea madarakani. Pamoja na kipaumbele hicho, mgombea huyo ametangaza kufuta ada na michango yote kwa wanafunzi wa sekondari na kuahidi kujenga Chuo kikuu kipya Dole, Unguja.
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Nanyaro: Kipaumbele kiwekwe kwenye elimu
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Japo muziki ni kipaji, elimu pia ipewe kipaumbele
10 years ago
VijimamboBAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KIPAUMBELE CHAKE NI BARABARA, ELIMU, AFYA NA WAZEE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PiUFWn6laME/UvNwNcZ5TdI/AAAAAAAFLLE/UALbtzKbDxg/s72-c/unnamed+(51).jpg)
Elimu ipewe kipaumbele Ili kuwawezesha wananchi wa kusini kunufaika na rasilimali ya gesi — Norway
![](http://1.bp.blogspot.com/-PiUFWn6laME/UvNwNcZ5TdI/AAAAAAAFLLE/UALbtzKbDxg/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0YKwmNv7rrA/UvNwNQlIrUI/AAAAAAAFLLI/sDY1s2arHMo/s1600/unnamed+(52).jpg)
BOFYA HAPA...
9 years ago
StarTV11 Nov
Rais Magufuli ashauriwa kuwapa kipaumbele wanawake
Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini wamemshauri Rais John Magufuli kutekeleza ahadi zake kwa vitendo ikiwemo kuteua wanawake zaidi katika nafasi za juu za uongozi.
Wanaharakati hao wamemsisitiza Rais Magufuli kuunda Baraza la Mawaziri lenye sura za usawa wa kijinsia ili kuondoa mfumo dume katika uamuzi.
Wakati Bunge la 11 likitarajiwa kuanza Novemba 17 mwaka huu, wananchi wamekuwa na mtazamo tofauti kuhusu baraza jipya la mawaziri, ambapo wanaharakati wa kutetea haki za wanawake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WPVH2X2c3_w/XmFZ7YoM0cI/AAAAAAALhbQ/0ZicZqFIsYQGWr_wDE5dX1dWffa8zUCogCLcBGAsYHQ/s72-c/8a8e3752-dcd6-4de9-a19c-5be6977a338f.jpg)
KATIBU MKUU UWT AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUWAPA WANAWAKE KIPAUMBELE
Charles James, Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Queen Mlozi amempongeza Rais Dk John Magufuli kwa kuwapa nafasi za uongozi wanawake kwenye serikali yake ya awamu ya tano.
Katibu huyo ametoa pongezi hizo pamoja na kumuomba Rais Magufuli kuendelea kuwapa nafasi kwani waliopo wameonesha jinsi gani mwanamke akipewa nafasi anaweza kufanya vizuri.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani itakayofanyika Machi 8,...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
Utafiti wa Twaweza, Dk Slaa adai ripoti imeandaliwa na Dk Bana kuibeba CCM
![](https://3.bp.blogspot.com/-f7LUsdAppoI/VGW6nvuX2II/AAAAAAADM_c/SoJtXR4WDJ0/s640/twaweza_clip.jpg)
Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa ya wananchi juu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkyw24L58YC0yYMbqKiJbM8hXwvypZYFJgtof*8e0FXmx8DDPGlNJir1T5nfnOQIqyuFD-br-ieTEMymnk-m7s48/uwoya.jpg)
UWOYA BANA! AFANYA FUJO KUBWA NYUMBANI KWA MUME WA MTU