Utafiti wa Twaweza, Dk Slaa adai ripoti imeandaliwa na Dk Bana kuibeba CCM
Mkurugenzi Mstaafu waTaasisi ya Utafiti ya Twaweza, Rakesh Rajan (kulia) akiwaelezea jambo Mwenyekiti wa Bodi ya Uhariri ya Raia Mwema, Jenerali Ulimwengu (kushoto) na Mkurugenzi wa Compass Communication Limited, Maria Sarungi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa kabla ya taasisi hiyo kutangaza matoke ya utafiti wao kuhusu Tanzania Kuelekea 2015, jijini Dar es Salaam juzi. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na taasisi ya Twaweza kuhusu maoni na matakwa ya wananchi juu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Nov
Slaa apinga utafiti wa Twaweza
SIKU moja baada ya Taasisi ya Twaweza kuanika matokeo ya utafiti wake, uliofanywa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani, wanasiasa na wasomi mbalimbali wameupokea kwa hisia tofauti.
10 years ago
Vijimambo16 May
'Bwege' adai wananchi ndio wameochoka kuibeba Serikali ya CCM
Alisema wapo wabunge wanaoitetea serikali, kwa kuibeba, lakini wapo wabunge wanaofanya kazi zao za kuikosoa.
Akichangia hotuba ya mwelekeo wa kazi za serikali, makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2015/16 iliyowasilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
MSEMAKWELI : Utafiti wa Twaweza ni somo kwa CCM
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s72-c/nat%2Bwa.jpg)
Nay wa Mitego Amvaa January Makamba..Adai January Ndio Mnunuzi Mkuu wa Akina Dr Slaa, Lupumba, Twaweza na Wasanii
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s640/nat%2Bwa.jpg)
Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego amemvaa mjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM,January Makamba na kudai yeye ni mnunuaji mkuu wa tafiti na wasanii kwa lengo la kukisaidia chama chake.Nay alimjibu January Makamba aliyepost ujumbe ukionyesha kushangaa tuhuma dhidi ya CCM kuwa imekuwa ikinunua wanasiasa,tafiti pamoja na wasanii kwa lengo la kuulaghai umma.
"Zitto kanunuliwa. Slaa kanunuliwa. Lipumba kanunuliwa. Twaweza imenunuliwa. Synovate...
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Utafiti Twaweza waibeba CCM, asilimia 65 kumchagua Magufuli
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s72-c/Eyakuze.jpg)
Utafiti wazua taharuki, waibua maswali tata.Kura za maoni: Twaweza yaipa CCM ushindi wa 65%, Ukawa 25%
![](http://1.bp.blogspot.com/-apVUKOxd6HA/Vec3APIPqEI/AAAAAAAAHfI/H5O_5A7b8Uw/s640/Eyakuze.jpg)
Matokeo ya utafiti kuhusu uchaguzi mkuu yaliyompa ushindi wa asilimia 65 mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli dhidi ya asilimia 25 za Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua taharuki kubwa huku baadhi wakiupinga, kuunga mkono na wengine kuibua maswali kadhaa magumu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, katika tukio lililorushwa moja kwa moja (live)...
10 years ago
Vijimambo29 Mar
BREAKING NEWZZZZ RIPOTI MPYA YAMBIO ZA URAIS YATOKA,NI LOWASSA NA MWIGULU KWA CCM,CHADEMA NI SLAA
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/22704_1569880066600782_5729300747823912878_n.jpg?oh=fb2b3e73471792eff272f55885ecb6d5&oe=55BA6448)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/11088391_1569879943267461_6356965142291801367_n.jpg?oh=98c95caf8f7e226648aac5ff9fb1e72d&oe=55A2A432&__gda__=1438144826_c25d0eba2b617db29bac257850f9a5af)
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11083873_1569879993267456_2357284592050219961_n.jpg?oh=c8ead43229af3eba53df416d885472cd&oe=55B11F22)
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11113836_1569880109934111_7712167609056260833_n.jpg?oh=fe0ce65d12eaf144fed451ec7cb4b46b&oe=55B06A9F)
Ripoti hi imetolewa hi leo Jijini DSm,Ripoti yote itawajia
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Utafiti Twaweza waibua maswali 14
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Utafiti wa Twaweza watikisa nchi