Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Rasilimali za asili Afrika ndiyo mitaji ya uchumi’

NCHI za Afrika zinapaswa kutambua kuwa rasilimali za asili zilizoko kwenye nchi hizo, ndio mitaji yao, hivyo zina haki ya kufaidika na rasilimali kwa usawa, kama anavyofaidika mwekezaji wa kigeni anayekuja na mtaji wa fedha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunahitaji rais wa kujenga uchumi, kulinda rasilimali zetu

Ikiwa imebaki takriban miezi minne Rais Jakaya Kikwete amalize muda wake kikatiba, bado ni fumbo kubwa kwa Watanzania kuhusu nani atakuwa mrithi wa kiti chake mara baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

RC SHINYANGA AZINDUA RASMI MRADI WA MIJADALA JUMUISHI KATIKA MASUALA YA UCHUMI NA USIMAMIZI WA RASILIMALI FEDHA



Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati wa Kuzindua rasmi Mradi wa Mijadala Jumuishi katika Masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Rasilimali Fedha unaotekelezwa na Shirika la Save The Children leo Ijumaa Juni 12,2020 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Albert Msovela. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiwasisitiza wadau na wananchi kulinda na kutunza watoto...

 

5 years ago

Michuzi

Wataalamu wa Sekta ya Rasilimali Watu na Wadau wa Sekta ya Uchumi Kukutana Mtandaoni

Wakati janga la Corona limeathiri njia za ufanyaji kazi duniani kote, kampuni nyingi duniani zimelazimika kutafuta namna mpya ya ufanyaji kazi. Nchini Tanzania, kampuni ya BrighterMonday Tanzania imeandaa semina ya mtandaoni itakayowakutanisha wataalamu katika sekta ya Rasilimali Watu pamoja na wadau katika sekta ya biashara kujadili mchango wa Rasilimali Watu katika kuhakikisha Uendelevu wa Biashara wakati wa mlipuko wa virusi Corona.  
Semina hiyo itafanyika Jumanne, Mei 12, 2020 kwa njia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ulevi na uvutaji ndiyo mihimili ya uchumi wetu?

NIMEJIWA na wazo kwamba neno la tahadhari kwenye sigara na matangazo ya bidhaa hiyo lisemalo “uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako” ni la kuondoa kabisa. Sababu kwa maana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkuchika ataka Afrika iungane kupigania rasilimali

SERIKALI  za Afrika zimetakiwa kuungana katika kupigania kurejeshwa kwa rasilimali za Afrika zilizoibwa zikiwemo fedha haramu zilizofichwa nje ya bara hilo. Hayo yalisemwa juzi na Waziri wa Utawala Bora, George...

 

10 years ago

Michuzi

Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL

 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power Solutions (PAP), Bw. Harbinder Sethi (Kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) maboresho yaaliyofanyika katika kiwanda hicho tangu PAP ilipochukua uongozi wa IPTL. Wakishuhudia ni baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya IPTL. 
 Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power...

 

10 years ago

Michuzi

je wajua asili ya jina Afrika?

Na Sultani Kipingo

Inasemekana kila jina lina asili yake na maana pia. Hata hilo jina lako ulipewa kwa sababu, na lina asili yake. Kama si la kutoka katika Biblia ama Quran, basi ni la kimila lenye kumaanisha jambo, kama vile siku, tukio, mahali ama hata shida au raha aliyopata mama wakati wa uzazi wako.

Jiji la Dar es salaam  zamani liliitwa Mzizima. Sultani Seyyid Majid wa Zanzibar ndiye aliyelipa jiji hili jina "Dar es Salaam" linalotokana na lugha ya Kiarabu  (Dār as-Salām) lenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Ali Ameir ataka Afrika itenge fedha, rasilimali kugharimia amani yake

Wakati Tanzania ikifikisha miaka 50 tangu kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26 mwaka 1964 na hivyo kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, machafuko ya kidini, ukabila na uharamia unaotokea Afrika ni changamoto kwa viongozi wake kwamba hawana budi kuchu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani