Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ali Ameir ataka Afrika itenge fedha, rasilimali kugharimia amani yake

Wakati Tanzania ikifikisha miaka 50 tangu kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26 mwaka 1964 na hivyo kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, machafuko ya kidini, ukabila na uharamia unaotokea Afrika ni changamoto kwa viongozi wake kwamba hawana budi kuchu

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mkuchika ataka Afrika iungane kupigania rasilimali

SERIKALI  za Afrika zimetakiwa kuungana katika kupigania kurejeshwa kwa rasilimali za Afrika zilizoibwa zikiwemo fedha haramu zilizofichwa nje ya bara hilo. Hayo yalisemwa juzi na Waziri wa Utawala Bora, George...

 

10 years ago

Vijimambo

Ali Ameir: Sitasahau mauaji ya Mwembechai

Asema alipata wakati mgumu akitishiwa itikafuWaziri wa zamani wa Mambo ya Ndani katika serikali ya awamu ya tatu, Ali Ameir Mohamed, amesema hatasahau vurugu za Mwembechai zilizohusisha Jeshi la Polisi na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu mwaka 1998 kwani ndiyo mgogoro mkubwa uliotokea chini ya uongozi wake wakati akiwa mtumishi wa umma.

Akizungumza katika mahojiano maalum na NIPASHE nyumbani kwake Donge Kichavyani, katika Shehia ya Mbiji, Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja,...

 

9 years ago

Habarileo

Ali Ameir awashangaa wanaombeza Magufuli

MWANASIASA mkongwe na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ali Ameir Mohammed amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ana sifa zote za kuwa rais na kwamba, wapinzani wanaomkebehi katika majukwaa wanashindwa kutoa kasoro zake.

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASA AMTEMBELEA ALI AMEIR MOHAMMED, ZANZIBAR

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (kushoto) akimsikiliza aliyewahi kuwa waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ali Ameir Mohammed, alipomtembelea nyumbani kwake, Kichaviani, jimbo la Dongo, viasiwani Zanzibar leo Jumamosi Desemba 27, 2014. Lowasa yuko Zanzibar kwa mapumziko ya Krismas na Mwaka mpya.Lowasa, akikaribishwa na Ali Ameir

 

10 years ago

GPL

MH. LOWASSA AMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA ZAMANI, MH. ALI AMEIR MOHAMED

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na Waziri waMambo ya Ndani wa zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kichaviani, Jimbo la Donge, Zanzibar.Mh. Lowassa yuko visiwani Zanzibar kwa mapumziko ya Krismasi. Waziri Mkuu…

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa amtembelea Waziri wa Mambo ya Ndani wa Zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kichaviani, Jimbo la Donge, Zanzibar.Mh. Lowassa yuko visiwani Zanzibar kwa mapumziko ya Krismasi. Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akielezwa jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama ataka mgao sawa wa rasilimali

Rais Barak Obama, amesema Marekani inafanya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii baada ya miaka mingi ya mdororo wa uchumi na vita

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...

 

10 years ago

Habarileo

‘Rasilimali za asili Afrika ndiyo mitaji ya uchumi’

NCHI za Afrika zinapaswa kutambua kuwa rasilimali za asili zilizoko kwenye nchi hizo, ndio mitaji yao, hivyo zina haki ya kufaidika na rasilimali kwa usawa, kama anavyofaidika mwekezaji wa kigeni anayekuja na mtaji wa fedha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani