Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuchika ataka Afrika iungane kupigania rasilimali

SERIKALI  za Afrika zimetakiwa kuungana katika kupigania kurejeshwa kwa rasilimali za Afrika zilizoibwa zikiwemo fedha haramu zilizofichwa nje ya bara hilo. Hayo yalisemwa juzi na Waziri wa Utawala Bora, George...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ali Ameir ataka Afrika itenge fedha, rasilimali kugharimia amani yake

Wakati Tanzania ikifikisha miaka 50 tangu kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26 mwaka 1964 na hivyo kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, machafuko ya kidini, ukabila na uharamia unaotokea Afrika ni changamoto kwa viongozi wake kwamba hawana budi kuchu

 

11 years ago

Michuzi

Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fedrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fredrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam.Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba. Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama ataka mgao sawa wa rasilimali

Rais Barak Obama, amesema Marekani inafanya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii baada ya miaka mingi ya mdororo wa uchumi na vita

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuchika: Tanzania ni nchi ya pili Afrika Mashariki kwa Utawala Bora na Vita dhidi ya Rushwa

1

Brass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyoanza kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salam.

Hussein Makame-MAELEZO

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema kuwa Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la Utawala Bora na vita dhidi ya Rushwa.

Waziri Mkuchika amayasema hayo wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma...

 

10 years ago

Habarileo

‘Rasilimali za asili Afrika ndiyo mitaji ya uchumi’

NCHI za Afrika zinapaswa kutambua kuwa rasilimali za asili zilizoko kwenye nchi hizo, ndio mitaji yao, hivyo zina haki ya kufaidika na rasilimali kwa usawa, kama anavyofaidika mwekezaji wa kigeni anayekuja na mtaji wa fedha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jamii iungane kukomesha ndoa za utotoni

UMASIKINI na ukosefu wa elimu juu ya ukatili wa kijinsia miongoni mwa wanajamii ni miomgoni mwa sababu inayochangia watoto  wadogo kukumbana na ndoa za utotoni. Pia tatizo hilo linachangiwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bilionea wa Afrika ataka kuinunua Arsenal

Mtu tajiri barani Afrika anataka kuinunua Arsenal.Aliko Dangote alijipatia mabilioni ya fedha kupitia biashara ya sukari na mafuta.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu tajiri Afrika ataka kuinunua Arsenal

Mtu tajiri barani Afrika Aliko Dangote amesema kuwa bado anataka kuinunua kilabu ya Arsenal

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mukandala ataka nchi za Afrika kuwa wamoja

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rweikaza Mukandala, amesema bila kujenga umoja wa kweli katika nchi za Afrika machafuko na migogoro ya kisiasa itaendelea kila kukicha. Mukandala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani