Mkuchika ataka Afrika iungane kupigania rasilimali
SERIKALI za Afrika zimetakiwa kuungana katika kupigania kurejeshwa kwa rasilimali za Afrika zilizoibwa zikiwemo fedha haramu zilizofichwa nje ya bara hilo. Hayo yalisemwa juzi na Waziri wa Utawala Bora, George...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Ali Ameir ataka Afrika itenge fedha, rasilimali kugharimia amani yake
11 years ago
Michuzi26 Jul
Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali
![Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fedrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0835.jpg)
![Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0814.jpg)
![Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0792.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Rais Obama ataka mgao sawa wa rasilimali
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
Waziri Mkuchika: Tanzania ni nchi ya pili Afrika Mashariki kwa Utawala Bora na Vita dhidi ya Rushwa
Brass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyoanza kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salam.
Hussein Makame-MAELEZO
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema kuwa Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la Utawala Bora na vita dhidi ya Rushwa.
Waziri Mkuchika amayasema hayo wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma...
10 years ago
Habarileo28 Aug
‘Rasilimali za asili Afrika ndiyo mitaji ya uchumi’
NCHI za Afrika zinapaswa kutambua kuwa rasilimali za asili zilizoko kwenye nchi hizo, ndio mitaji yao, hivyo zina haki ya kufaidika na rasilimali kwa usawa, kama anavyofaidika mwekezaji wa kigeni anayekuja na mtaji wa fedha.
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Jamii iungane kukomesha ndoa za utotoni
UMASIKINI na ukosefu wa elimu juu ya ukatili wa kijinsia miongoni mwa wanajamii ni miomgoni mwa sababu inayochangia watoto wadogo kukumbana na ndoa za utotoni. Pia tatizo hilo linachangiwa na...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Bilionea wa Afrika ataka kuinunua Arsenal
10 years ago
BBCSwahili05 May
Mtu tajiri Afrika ataka kuinunua Arsenal
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Mukandala ataka nchi za Afrika kuwa wamoja
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rweikaza Mukandala, amesema bila kujenga umoja wa kweli katika nchi za Afrika machafuko na migogoro ya kisiasa itaendelea kila kukicha. Mukandala...