Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASA AMTEMBELEA ALI AMEIR MOHAMMED, ZANZIBAR

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (kushoto) akimsikiliza aliyewahi kuwa waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ali Ameir Mohammed, alipomtembelea nyumbani kwake, Kichaviani, jimbo la Dongo, viasiwani Zanzibar leo Jumamosi Desemba 27, 2014. Lowasa yuko Zanzibar kwa mapumziko ya Krismas na Mwaka mpya.Lowasa, akikaribishwa na Ali Ameir

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa amtembelea Waziri wa Mambo ya Ndani wa Zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kichaviani, Jimbo la Donge, Zanzibar.Mh. Lowassa yuko visiwani Zanzibar kwa mapumziko ya Krismasi. Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akielezwa jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la...

 

10 years ago

GPL

MH. LOWASSA AMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA ZAMANI, MH. ALI AMEIR MOHAMED

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na Waziri waMambo ya Ndani wa zamani,Mh. Ali Ameir Mohamed wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kichaviani, Jimbo la Donge, Zanzibar.Mh. Lowassa yuko visiwani Zanzibar kwa mapumziko ya Krismasi. Waziri Mkuu…

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASA AMTEMBELEA SUKWA SAID SUKWA HUKO ZANZIBAR

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (kulia) akisalimiana na Katibu mkuu waZamani wa Umoja wa Vijana wa CCM, Sukwa Said Sukwa alipomtembelea kwa ajiliya kumjulia hali, nyumbani kwake eneo la Mpendae, mjini Unguja jana. MhLowassa alikuwa Zanzibar kwa mapumziko ya kusherekea skukuu ya Krismasi.Mazungumzo ya Lowassa na Sukwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa (kulia) akifurahia jambo na Katibu mkuu waZamani wa Umoja wa Vijana wa CCM, Sukwa Said Sukwa alipomtembelea nyumbanikwake eneo la...

 

5 years ago

CCM Blog

KADA WA 13 WA CCM, DK. ABDULHALIM MOHAMMED ALI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Kada wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Abdulhalim Mohammed Ali katikati akitoka katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar baada ya kukamilisha uchukuaji wa Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 13 wa CCM kuchukua fomu leo.Akikabidhiwa fomu





 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DR. ALI MOHAMMED SHEIN MGENI RASMI TUZO ZA TASWA USIKU HUU

0001Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Ali Mohammed Shein akikabidhi tuzo ya heshima ya mwanamichezo bora wa mwaka kwa Mama Fatma Karume Mjane wa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu Mzee Abeid Amani Karume iliyotolewa na Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Usiku huu. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA Bw. Juma Pinto.)003Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein mgeni rasmi tuzo za TASWA usiku wa kuamkia leo

0001

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Ali Mohammed Shein akikabidhi tuzo ya heshima ya mwanamichezo bora wa mwaka kwa Mama Fatma Karume Mjane wa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Marehemu Mzee Abeid Amani Karume iliyotolewa na Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Usiku huu, Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA Bw. Juma Pinto.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...

 

10 years ago

Vijimambo

Ali Ameir: Sitasahau mauaji ya Mwembechai

Asema alipata wakati mgumu akitishiwa itikafuWaziri wa zamani wa Mambo ya Ndani katika serikali ya awamu ya tatu, Ali Ameir Mohamed, amesema hatasahau vurugu za Mwembechai zilizohusisha Jeshi la Polisi na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu mwaka 1998 kwani ndiyo mgogoro mkubwa uliotokea chini ya uongozi wake wakati akiwa mtumishi wa umma.

Akizungumza katika mahojiano maalum na NIPASHE nyumbani kwake Donge Kichavyani, katika Shehia ya Mbiji, Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja,...

 

9 years ago

Habarileo

Ali Ameir awashangaa wanaombeza Magufuli

MWANASIASA mkongwe na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ali Ameir Mohammed amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ana sifa zote za kuwa rais na kwamba, wapinzani wanaomkebehi katika majukwaa wanashindwa kutoa kasoro zake.

 

11 years ago

GPL

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AMTEMBELEA MH. MOHAMMED DEWJI

CEO wa Kampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji Balozi (kulia) akimsindikiza Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh. Liberata Mulamula, akifurahia jambo na Mh. Mohammed Dewji alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani