RAGE: TUJIUZULU WOTE
![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwXECPCQV*uxVV7REVEyACVvCEUXoAsqQa8ix6lSF9wUZ5nOzQpnv7J0t7jbJbDk-L-vm756AgxnmKOt2w6L66U/IsmailAdenRage.jpg?width=640)
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage. MWENYEKITI wa Simba, Ismail Rage amesema yupo tayari kujiuzulu uenyekiti wa klabu hiyo, lakini akasisitiza hilo lifanywe na wajumbe wote wa kamati ya Utendaji. Kwa takriban mwezi sasa hali imekuwa si shwari ndani ya Simba, baada ya baadhi ya wajumbe wa kamati ya Utendaji wakiongozwa na Kaimu makamu mwenyekiti, Joseph Itang’are ‘Kinesi’ kumsimamisha Rage kwa tuhuma mbalimbali....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/G8icHtTqOlI/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Neymar is all the rage among hosts
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Rage amtetea Logarusic
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Rage aiangukia TFF
RAIS wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’, ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), akilitaka liruhusu uchaguzi wa Simba ufanyike Juni 29. Rage alisema Juni 15, mwaka...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Rage: Tusitafute mchawi
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Rage awaonya wanachama
MWENYEKITI wa Simba anayemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, amewaonya wanachama kuwa makini kuelekea uchaguzi mkuu, kwani kitendo cha kupandikiza maneno kwa Mgombea wa Urais Michael Wambura kitaharibu mchakato mzima...
11 years ago
Habarileo13 Jan
Rage aundiwa 'zengwe' Tabora
BAADHI ya wananchi mjini Tabora wamekiomba Chama Cha Mapinduzi kimtayarishie Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini, Ismail Rage mkutano wa hadhara ambao utawawezesha kumuuliza maswali mbunge huyo kuhusu utekelezaji wa Ilani ya chama hicho.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Rage akabidhi ofisi Simba
HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, jana alikabidhi rasmi ofisi Makao Makuu ya klabu hiyo kwa Rais Evans Aveva na kamati yake ya utendaji, ikiwamo mikataba mbalimbali iliyosaini...