KIFO CHA FILIKUNJOMBE, MAPYA YAIBUKA

Na Waandishi Wetu NI mapya! Ni kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ludewa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), marehemu Deogratius Haule Filikunjombe ‘Deo’ (43) kilichotokea Oktoba 15, mwaka huu kwenye Hifadhi ya Wanyama ya Selous kwa kuanguka na helikopta, mapya yameibuka, moja ikidaiwa kuwa, kumbe Deo aliruka kabla ya chombo hicho kufika chini....Soma zaidi====>http://bit.ly/1jy96SV ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAZITO YAIBUKA KIFO CHA KIGOGO CCM
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi19 Oct
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBI LAMBI KUFUATIA KIFO CHA FILIKUNJOMBE
Katika salamu zake za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Anna Semamba Makinda, Rais Kikwete...
11 years ago
GPL
MAPYA YAIBUKA!
10 years ago
Michuzi
Dkt. Magufuli apokea kwa masikitiko kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ludewa, mkoani Njombe Ndugu Deo Filikunjombe Haule,

10 years ago
GPL
MAPYA YAIBUKA MASHAMBULIZI
10 years ago
GPL
Rufaa ya Cheka, mapya yaibuka
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Mapya yaibuka mkoani Tanga
Na Amina Omari, TANGA
JESHI la Polisi nchini limesema katika msako unaoendelea katika mapango ya Mleni mkoani hapa, ambayo watu wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uporaji silaha walikuwa wamejificha, wamefanikiwa kukuta ngedere watatu wakiwa wamekufa huku wakiwa na majeraha.
Pamoja na hilo pia jeshi hilo limefanikiwa kumtia mbaroni mtuhumiwa mmoja ambaye wamemkuta na bunduki aina ya SMG ambayo ni mali ya jeshi hilo pamoja na risasi 20.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Mapya yaibuka uchaguzi Simba
WAKATI uchaguzi mkuu wa Simba ukiwa bado gizani, mengine yamezidi kuibuka baada ya kudaiwa Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo chini ya Mwenyekiti wake Dk. Damas Ndumbaro ni batili kwa...