VIRUSI VYA CORONA VYATUA NCHINI KENYA
Wizara ya Afya nchini Kenya imeripoti kisa cha kwanza cha virusi vya ugonjwa wa corana .
Kulingana na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, mgonjwa huyo raia wa Kenya alithibitishwa kuwa na virusi hivyo baada ya kurejea nchini humo kutoka Marekani, Alhamisi, Machi 5.
Amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH). Waziri ameripoti kuwa, mgonjwa huyo wa kike aliyejipeleka hospitali mwenyewe baada ya kuhisi maumivu anaendelea vizuri na matibabu na kwamba joto lake la mwili...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya Corona: Walioambukizwa virusi vya corona Kenya wafikia 363
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Watu 143 wameambukizwa virusi vya corona Kenya
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Vijana Kenya wavumbua mfumo wa CovIdent unaotarajiwa kutambua wenye virusi
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11