Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIRUSI VYA CORONA VYATUA NCHINI KENYA

  Wizara ya Afya nchini Kenya  imeripoti kisa cha kwanza cha virusi vya ugonjwa wa corana . 
Kulingana na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, mgonjwa huyo raia wa Kenya alithibitishwa kuwa na virusi hivyo baada ya kurejea nchini  humo kutoka Marekani, Alhamisi, Machi 5. 
Amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH). Waziri ameripoti kuwa, mgonjwa huyo wa kike aliyejipeleka hospitali mwenyewe baada ya kuhisi maumivu anaendelea vizuri na matibabu na kwamba joto lake la mwili...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya

Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia wagonjwa 4,738

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715

Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110

Idadi ya visa vya ugonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imefikia 110 baada ya visa vingine 29 kuthibitishwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Walioambukizwa virusi vya corona Kenya wafikia 363

Walioambukizwa virusi vya corona Kenya wafikia 363.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 143 wameambukizwa virusi vya corona Kenya

Idadi ya wanaume inaonekana kuwa juu zaidi kati ya wanaopata maambukizi ya virusi vya corona Kenya

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Vijana Kenya wavumbua mfumo wa CovIdent unaotarajiwa kutambua wenye virusi

Chuo kikuu Cha teknolojia cha Meru nchini Kenya kimevumbua mfumo wa kidigitali unaofahamika kama CovIdent utakaotoa alama za data binafsi kwa lengo la kurahisisha upimaji wa virusi vya corona kwa watu wengi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553

Wagonjwa 54 wa virusi vya corona wamethibitishwa kupona nchini Kenya , ikiwa ndio idadi kubwa zaidi kutangazwa kwa siku

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11

Hii ni idadi kubwa zaidi ya watu kupona kwa siku nchini Kenya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani