Milioni 200 za Rais Magufuli zinaweza kununua vitanda 500
Sh200 milioni zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sherehe ya uzinduzi wa Bunge zilizozuiwa kutumiwa na Rais John Magufuli zinaweza kununua vitanda vya wagonjwa 500.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s72-c/mm.png)
Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s640/mm.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QXA0bb1mCXI/Vk9eudExBGI/AAAAAAAIHKs/zvTOU4S5h3M/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Rais Magufuli aagiza fedha za hafla ya wabunge zipelekwe Muhimbili kununulia vitanda vya wagonjwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-QXA0bb1mCXI/Vk9eudExBGI/AAAAAAAIHKs/zvTOU4S5h3M/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Mheshimiwa Magufuli ametoa agizo hilo baada ya kupokea taarifa kuwa wadau mbalimbali wamechanga...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene akabidhi vitanda vaya kujifungulia vya thamani ya Milioni 30 ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuANro3wWy0/VcWjkCBmcrI/AAAAAAAHvUo/VHcwJCB5Kwk/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oRgCKenTrPA/VcWjkePOFHI/AAAAAAAHvUg/CoAYZKZ_Ehc/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hFa4JlBO_qs/VcWjkbxutTI/AAAAAAAHvUk/74wZLMdlZLk/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo14 Jul
DUCE yapokea wanafunzi 200 badala ya 500
LICHA ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Ualimu Dar es Salaam (DUCE) kuwa na uwezo wa kufundisha wanafunzi zaidi ya 500 wa masomo ya sayansi, wamekuwa wakipokea wanafunzi 200 tu wa masomo hayo.
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Wabunge wamsifu Dk Magufuli, vitanda 300 vyatua Muhimbili
11 years ago
MichuziMILIONI 80 KUNUNUA GARI YA WANAFUNZI IFUNDA
Na Denis Mlowe,Iringa
ZAIDI ya shilingi milioni 80 zinatarajia kutumika katika ununuzi wa gari ya wanafunzi wa shule ya wasichana Ifunda iliyoko katika wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Zaina Salingwa alisema hayo katika harambee iliyofanyika sambamba na mahafari ya nane ya kidato cha sita shuleni hapo kuwa kuna changamoto kubwa ya usafiri wa wanafunzi katika shule hiyo na wanatarajia kukusanya fedha hiyo kuweza...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXVs5YppiYE/VYMtRKnBLEI/AAAAAAAAex4/pQN-jL3F2R8/s72-c/INDIA%2B357.jpg)
TANZANIA NA INDIA ZINAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI KIBIASHARA, RAIS KIKWETE
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXVs5YppiYE/VYMtRKnBLEI/AAAAAAAAex4/pQN-jL3F2R8/s640/INDIA%2B357.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa licha ya biashara kati ya Tanzania na India kuongezeka katika miaka ya hivi karibuni, bado kuna nafasi ya kufanya vizuri zaidi endapo fursa zilizopo zitatumiwa ipasavyo.
Rais Kikwete alisema hayo alipokuwa anaongea na Watendaji Wakuu wa Makampuni Makubwa ya India jijini Delhi leo tarehe 18 Juni 2015.
Rais Kikwete yupo nchini India kwa ziara ya Kitaifa ya siku nne iliyoanzia Siku ya Jumanne tarehe 17 Juni, 2015. Alisema kuwa lengo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IL2DCYeRztQ/XlXy5VEl8ZI/AAAAAAALfb8/sTc9oZO9HZYqZt1YBKDsx3IwPef5SlpQQCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-02-25-20-52-45.jpg)
RAIS MAGUFULI ACHANGIWA SH.MILIONI MOJA NA JUMUIYA YA WAZAZI ARUSHA KUCHUKUA FOMU YA URAIS
UMOJA wa Wazazi Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Arusha, Mwishoni Mwa Wiki, Imemkabidhi Mwenyekiti wa Jumuiya Hiyo Taifa Ambaye Pia Ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Hicho, Dk.Edmund Mndolwa, Shilingi Milioni Moja kwa Ajili ya Kumchukulia Fomu ya Kugombea Nafasi ya Urais kwa Awamu ya Pili.Akiongea wakati akimkabidhi Mwenyekiti huyo fedha hizo Katibu mwenezi wa wilaya ya Arumeru ambaye pia ni mjumbe Wa kamati ya utekelezaji wa jumuiya ya wazazi...
10 years ago
Habarileo18 Nov
Sita mbaroni wizi wa milioni 500/-Stanbic
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu sita wakiwemo raia wawili wa Kenya, baada ya kukiri kuhusika na wizi wa fedha zaidi ya Sh milioni 500 zilizoibwa Oktoba 23 mwaka huu katika Benki ya Stanbic, tawi la Mayfair, Kinondoni.