Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MILIONI 80 KUNUNUA GARI YA WANAFUNZI IFUNDA

MILIONI 80KUNUNUA GARI YA WANAFUNZI IFUNDA
Na Denis Mlowe,Iringa
ZAIDI ya shilingi milioni 80 zinatarajia kutumika katika ununuzi wa gari ya wanafunzi wa shule ya wasichana Ifunda iliyoko katika wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Zaina Salingwa alisema hayo katika harambee iliyofanyika sambamba na mahafari ya nane ya kidato cha sita shuleni hapo kuwa kuna changamoto kubwa ya usafiri wa wanafunzi katika shule hiyo na wanatarajia kukusanya fedha hiyo kuweza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utauzaje nyumba na kununua gari?

KATIKA maisha yetu ya kawaida binadamu ni dhahiri wote bila ya kujali tofauti ya uwezo wetu kifedha au kiuchumi kwa ujumla, tunahitaji kula, kuvaa na makazi (malazi). Mahitaji hayo niliyoyataja...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI KUNUNUA MAFUTA YA GARI KUPITIA M PESA

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya kulipia mafuta kwa Mpesa kwenye vituo vya mafuta vya Total nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Biashara wa Total Romee de Villeneuve. Uzinduzi huo umefanyika leo jijini Dra es salaam.   Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum Mwalim akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) jinsi ya kulipia mafuta kwa Mpesa kwenye vituo vya mafuta vya Total muda mfupi baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Milioni 200 za Rais Magufuli zinaweza kununua vitanda 500

Sh200 milioni zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sherehe ya uzinduzi wa Bunge zilizozuiwa kutumiwa na Rais John Magufuli zinaweza kununua vitanda vya wagonjwa 500.

 

11 years ago

Habarileo

Kortini wizi wa gari la milioni 60/-

WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka mawili, ya wizi wa gari lenye thamani ya Sh milioni 60 na kulinda mali iliyoibwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Seremala ashinda gari la Sh70 milioni

Fundi seremala mkazi wa Manispaa ya Morogoro, Joseph Msoffe ameibuka mshindi wa gari jipya aina ya Tata Safari lenye thamani ya Sh70 milioni kwenye droo ya mwisho ya promosheni ya Chomoka na Mwananchi iliyochezeshwa Makao Makuu ya Ofisi za Mwananchi, Tabata Relini jijini Dar es Salaam, jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi UDSM wamnunulia gari mwenzao

Wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) wamemnunulia mwenzao, Malangwa Machibya gari ili kumwezesha kuendelea na masomo baada ya kuumia mguu katika ajali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani