MILIONI 80 KUNUNUA GARI YA WANAFUNZI IFUNDA
MILIONI 80KUNUNUA GARI YA WANAFUNZI IFUNDA
Na Denis Mlowe,Iringa
ZAIDI ya shilingi milioni 80 zinatarajia kutumika katika ununuzi wa gari ya wanafunzi wa shule ya wasichana Ifunda iliyoko katika wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Zaina Salingwa alisema hayo katika harambee iliyofanyika sambamba na mahafari ya nane ya kidato cha sita shuleni hapo kuwa kuna changamoto kubwa ya usafiri wa wanafunzi katika shule hiyo na wanatarajia kukusanya fedha hiyo kuweza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Utauzaje nyumba na kununua gari?
KATIKA maisha yetu ya kawaida binadamu ni dhahiri wote bila ya kujali tofauti ya uwezo wetu kifedha au kiuchumi kwa ujumla, tunahitaji kula, kuvaa na makazi (malazi). Mahitaji hayo niliyoyataja...
11 years ago
MichuziWANANCHI KUNUNUA MAFUTA YA GARI KUPITIA M PESA
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Milioni 200 za Rais Magufuli zinaweza kununua vitanda 500
11 years ago
Habarileo10 Jun
Kortini wizi wa gari la milioni 60/-
WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka mawili, ya wizi wa gari lenye thamani ya Sh milioni 60 na kulinda mali iliyoibwa.
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Seremala ashinda gari la Sh70 milioni
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Wanafunzi UDSM wamnunulia gari mwenzao