HATUJATOA MAELEKEZO YA KUFUNGWA MINADA YETU,WATU WAENDELEE KUCHAPA KAZI-ULEGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dRi-VPOm1ao/Xn97qNvNsvI/AAAAAAAAG_I/SnafW9ANZrAth8l0XSfDjX-0MdKFTAkKgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Ofisa ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaani (TAMISEMI) wamewagiza wakurugenzi, watendaji wa mitaa na wakuu wawilaya zote nchini kuacha mara moja kufungia minada ya samaki na ile ya ng’ombekwa kisingizio cha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza jana,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega alisema msimamo wa serikali upopale pale haujazuiwa biashara ikiwemo minada ya samaki na wanyama na waliaonzakufungia minada hiyo kuacha mara moja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
5 years ago
MichuziUHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA JIMBO LA MKURUNGA WASABABISHA NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA KUTOA MAELEKEZO KWA TARURA
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Abdallah Ulega amefanya ziara katika kata mbilimbali za jimbo hilo kwa lengo la kukagua miundombinu ya barabara ilivyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.
Kutokana na uharibifu huo Ulega amemtaka Meneja wa Wakala wa Ujenzi wa Barabara Vijijini (TARURA) kutafuta namna ya kuhakikisha barabara hizo zinapitika.
Akizungumza hivi karibuni jimboni humo na baadhi ya wananchi...
9 years ago
Habarileo30 Oct
Mavunde aahidi kuchapa kazi
MBUNGE wa Jimbo la Dodoma aliyechaguliwa, Antony Mavunde, ameahidi kufanya kazi kwa vitendo na sio maneno. Akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Majengo alipoenda kutoa shukrani kwa kumchagua kuwa mbunge, Mavunde alisema atahakikisha anawatumikia kwa kusikiliza kero zao pamoja na kusaidia utatuzi wake.
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Wafanyakazi ‘Katiba na Sheria’ waaswa kuchapa kazi
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) Mkoa wa Dar-es-salaam Bw. Hassan Kaumo akiongea na wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Aprili 30, 2014). Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw. Fanuel Mbonde. (Picha na Martha Komba – Wizara ya Katiba na Sheria).
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo...
11 years ago
Habarileo10 Aug
Serikali yataka vijana kuchapa kazi kwa bidii
SERIKALI imewataka vijana kuchapa kazi kwa bidii ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii wanazoishi ikizingatiwa kwamba asilimia 75 ya nguvu kazi ya taifa ni vijana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-503goZ0ehlY/XrERZvmQIbI/AAAAAAALpLU/8jh01KO-zwYublmDkwmea9msO9biCPfZACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0167.jpg)
ULEGA AKABIDHI MAGODORO 70 KAMBI YA WATU WALIOPO KARANTINI MKURANGA
NA MWAMVUA MWINYI,MKURANGA Mbunge wa Jimbo la Mkuranga na Naibu wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amekabidhi Magodoro Sabini (70) kwa ajili ya kambi ya watu walioko kwenye karantini wilayani Mkuranga. Hatua hiyo ya Ulega ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za serikali za kupambana na ugojwa wa Homa ya Mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umekuwa janga la Ulimwengu. Magodoro hayo, Mbunge huyo aliyapokea kutoka kwa wadau na marafiki mbalimbali walioamua ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
RAIS MAGUFULI:WATANZANIA OONDOENI HOFU KUHUSU CORONA, ENDELEENI KUCHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
*Awahakikishia watumishi wote wa umma kuendelea kulipwa mishahara yao
RAIS Dk.John Magufuli tangu tanga la Coroa limeibuka kila nchi inao utaratibu wake wa kushughulika na tatizo hilo na kwa Watanzania hakuna sababu ya kuwa na hofu yoyote na waendelee kuchapa kazi.
Ametumia nafasi hiyo kuwahakikisha watumishi wote wa umma wakiwemo walimu ambao ndio wengi zaidi kuwa Serikali itaendelea kuwalipa mshahara hadi shule zitakapofunguliwa ingawa kuna nchi nyingine zimeshindwa kulipa mishahara...