Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ULEGA AKABIDHI MAGODORO 70 KAMBI YA WATU WALIOPO KARANTINI MKURANGA


NA MWAMVUA MWINYI,MKURANGA  Mbunge wa Jimbo la Mkuranga na Naibu wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amekabidhi Magodoro Sabini (70) kwa ajili ya kambi ya watu walioko kwenye karantini wilayani Mkuranga.  Hatua hiyo ya Ulega ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za serikali za kupambana na ugojwa wa Homa ya Mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona ambao umekuwa janga la Ulimwengu.  Magodoro hayo, Mbunge huyo aliyapokea kutoka kwa wadau na marafiki mbalimbali walioamua ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ULEGA AKABIDHI MIL.3 NA MIFUKO YA SARUJI 140 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO



Mwamvua Mwinyi, MkurangaMBUNGE wa Jimbo la Mkuranga ambae pia ni Naibu wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi ,Abdallah Ulega amekabidhi sh.milioni tatu na mifuko ya saruji 140 kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo Jimbo la Mkuranga. 
Zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi mbalimbali alizozitoa mbunge Ulega kwenye miradi ya maendeleo.
Miradi iliyonufaika ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Lukanga saruji mifuko 50, ujenzi wa zahanati Yavayava saruji mifuko 50, ujenzi wa kivuko Churwi 30, ujenzi...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA ATOA POLE KWA FAMILIA 21 AMBAZO NDUGU ZAO WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI MKURANGA

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa pole kwa familia 21 zilizopata msiba uliotokana na ajali ya basi iliyotokea maeneo ya kilimahewa wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kuwataka wananchi kuchukua taadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.                                               Akizungumza na wanafamilia hao aliowatembelea kuwapa pole katika kata saba za Wilaya ya Mkuranga, Ulega aliwapatia kiasi zaidi ya Sh.milioni moja na unga kwa familia hizo za marahemu.                  ...

 

5 years ago

Michuzi

HATUJATOA MAELEKEZO YA KUFUNGWA MINADA YETU,WATU WAENDELEE KUCHAPA KAZI-ULEGA

WIZARA ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Ofisa ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaani (TAMISEMI) wamewagiza wakurugenzi, watendaji wa mitaa na wakuu wawilaya zote nchini kuacha mara moja kufungia minada ya samaki na ile ya ng’ombekwa kisingizio cha ugonjwa wa Corona.

Akizungumza jana,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega alisema msimamo wa serikali upopale pale haujazuiwa biashara ikiwemo minada ya samaki na wanyama na waliaonzakufungia minada hiyo kuacha mara moja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu sita wawekwa karantini jela Guinea

Watu sita wamewekwa Karantini jela nchini Guinea baada ya kukutwa na mwili wa Mtu ndani ya Taxi aliyebainika kufa kwa Ebola

 

5 years ago

Michuzi

WATU 34 WARUHUSIWA KUTOKA KARANTINI MKOANI SIMIYU


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Bariadi Mjini, Aprili 18, 2020 ambapo ameshiriki katika ibada ambayo waumini hao wameitikia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kwa Watanzania wote kuingia katika maombi ya siku tatu ( Aprili 17-19, 2020) kuliombea Taifa ili Mungu aliponye na janga la Corona.
Baadhi ya Wazee wa Kanisa wa Kanisa la SDA Bariadi mjini wakiwaongoza...

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 30 WARUHUSIWA MKOA WA SIMIYU WALIOKUWA KATIKA KARANTINI

  Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Antony Mtaka amesema kuwa jumla ya watu 30 waliokuwa kwenye eneo la kujitenga (Karantini) baada ya kurejea nchini kutoka nje ya nchi wametoka na hawana ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na maambukizi ya virusi vya corona.

Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Aprili 18, wakati akiongea na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Bariadi kwenye ibada ambayo iliambatana na maombi maalumu ya kuliombea taifa kuepuka na janga la corona.

Mtaka amesema watu hao...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Serikali Kenya yaapa kuwakamata watu 50 waliotoroka karantini

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa watu wote hamsini waliotoroka kutoka kwenye kituo cha karantini cha watu wanaoshukiwa kuwa na virusi vya corona mjini Nairobi watakamatwa tena na kurejeshwa tena kwenye vituo hivyo.

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: WATU 18 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE 15 WAJERUHIWA KWA AJALI WILAYANI MKURANGA.


Watu 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahewa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Kamanda Lyanga amesema kuwa ajali hiyo imetokea leo Jumatano Aprili 15, 2020 na kwamba imehusisha lori na gari la abiria aina ya Toyota Coaster.“Ni Kweli tuko kwenye eneo la tukio, ajali imetokea na imesababisha vifo vya watu 18 na majeruhi 15,” amebainisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wenye silaha wavamia kambi ya jeshi India

Washambuliaji wanne wameuawa baada ya wanajeshi wa India kuzima shambulio la mapema asubuhi katika kambi la jeshi ya Pathankot.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani