Watu wenye silaha wavamia kambi ya jeshi India
Washambuliaji wanne wameuawa baada ya wanajeshi wa India kuzima shambulio la mapema asubuhi katika kambi la jeshi ya Pathankot.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9-FRIlRYII0/VK_TkwUE0MI/AAAAAAAAJrk/Y38OTBdS_uA/s72-c/1.jpg)
Unbelivable: Marehemu Fidel Odinga Alikuwa ni Zaidi ya Kambi ya Jeshi Tizama Silaha zilizokutwa kwake.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-L0Bei0MG2fw%2FVK_OYrVdGQI%2FAAAAAAAAJrM%2FxXLoEB-93q0%2Fs640%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-8zvUI5aLZTI%2FVK_OYvjlSyI%2FAAAAAAAAJrI%2FfUq5SuGQwnE%2Fs640%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zkWFL3o-zUg/XtUMLaY2iwI/AAAAAAALsOQ/G7t-D3eYL6ASoGwu2NV9D6Gl80244I6pgCLcBGAsYHQ/s72-c/UU.jpg)
JESHI LA POLISI KUWACHUKULIA HATUA KALI WATU WANAOJIHUSISHA NA UHALIFU WA KUTUMIA SILAHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zkWFL3o-zUg/XtUMLaY2iwI/AAAAAAALsOQ/G7t-D3eYL6ASoGwu2NV9D6Gl80244I6pgCLcBGAsYHQ/s640/UU.jpg)
IGP Sirro amesema hayo leo akiwa mkoani Tabora ambapo alizungumza na Polisi Kata waliopo kwenye mkoa huo huku akiwataka kuhakikisha kuwa kila mtu anatimiza wajibu wake hasa tunapoelekea kwenye kipindi cha uchaguzi mkuu sambamba na kuwachukulia hatua wale wasiotaka...
9 years ago
Habarileo14 Nov
Waalgeria ‘wavamia’ kambi
WAKATI timu ya Taifa ya Algeria chini ya Kocha wao Mfaransa, Christian Gourcuff ikiwa ‘mafichoni’ jana, kambi ya timu ya taifa haikuwa na ulinzi wowote huku maofisa na waandishi wa Algeria wakiingia watakavyo.
9 years ago
StarTV23 Dec
Jeshi la Polisi laombwa kuweka ulinzi maalumu kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino)
Chama watu wenye ulemavu wa ngozi Albino Mkoa wa Tanga kimeliomba jeshi la polisi kuweka ulinzi maalumu kwenye maeneo yenye walemavu hao kama sehemu ya kukabiliana na ukataji wa viungo na mauaji ya watu hao.
Kauli ya chama hicho imekuja baada ya mlemavu mwenzao wa ngozi Ester Maganga mkazi wa wilaya ya Lushoto kukatwa kidole chake cha mkono wa kusoto kwa imani za kishirikina.
Katibu wa chama cha Albino Mkoa wa Tanga, Mahmud Salekhe amesema kitendo cha Mwenzao Ester Maganga mkazi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
11 years ago
Michuzi17 May
OFISI ndogo ya Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania leo imetialiana saini na Chama cha kupunguza Matumizi ya Silaha na Maridhiano cha Jamhuri ya Watu wa China (Chinese Peoples’ Association for Peace and Disarmament) wenye thamani ya dola laki moja z
![](https://2.bp.blogspot.com/-xGKFYr6M3Vw/U3Yi_zPEPRI/AAAAAAACxu8/b8uEJvsq1Dk/s1600/PIX+8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gf8ld-CfOBQ/U3Yi_K89ekI/AAAAAAACxvE/AHGr6S4pvlo/s1600/PIX+7.jpg)