NDOA YENYE MZOZO KILA SIKU MKE ANA KASORO - 2
Wiki iliyopita katika mada yetu tuliishia pale ambapo dada Mary alikuwa akizungumzia nafasi ya mke katika ndoa ambapo alisema ‘yeye kama yeye’ haamini kama anaweza kufanya jambo ambalo likamfanya mumewe achukue hatua ya kumpiga au kuzozana naye kwa vile anaijua nafasi yake katika ndoa.
Alisema: “Kujibizana na mume ndani ya nyumba ni kukosa heshima kwani mume ni kiongozi, huwezi kijibizana na kiongozi wako ndiyo maana Mungu alisema mke mwema hutoka kwake lakini hajasema popote kuhusu mume...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuofXBKdS2uFybnAhTTVkcM4*P6zvj5ny9d4pDG40ZiGmXjNxYL3*cnzzpKI8lICnNsANdZ0mg7CivtF95pvAXdt/MAHABA.jpg)
NDOA YENYE MZOZO KILA SIKU, MKE ANA KASORO!
10 years ago
Bongo524 Aug
Jux: Vanessa Mdee ana kila sifa ya kuwa mke
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s72-c/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-l-C7WpxHWJw/VYr7NWmkVGI/AAAAAAAHjn0/HY9ExkXfZEQ/s640/african-weddings%2B%25281%2529.jpg)
Na Bashir YAkub
Sura ya 29 Sheria ya ndoa imeeleza mambo mengi . Baadhi yanajulikana na baadhi hayajulikani. Wakati mwingine hata baadhi ya yanayojulikana haijulikani kama yameruhusiwa na sheria au yanafanyika kimazoea. Na hapa ndipo inapoibukia migogoro mingi ambayo tunayoshuhudia mahakamani na hata nje ya mahakama. Aidha sheria hii imebeba mambo mengi ya talaka, matunzo ya watoto na mwanamke, jinai za unyanyasaji wa kijinsia, ndoa haramu ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
10 years ago
Vijimambo18 Jun
YANGA NA MSUVA NI NDOA YENYE NEEMA
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2756090/highRes/1039453/-/maxw/600/-/q12iwe/-/01-Sifa.jpg)
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva
Ukiangalia kwa undani unaweza kuhisi kuwa Yanga imeamua kufanya hivyo kama njia ya kuhakikisha Msuva hawaponyoki, hasa baada ya kuwepo kwa tetesi kwamba watani zao Simba wanamwinda mchezaji huyo usiku na mchana ili kumweka chini ya himaya yao.ILICHOKIFANYA Yanga sasa ni sifa wala si kitu kingine. Unajua kwa nini? Siku chache baada winga wake Simon Msuva kunyakua tuzo mbili za Mfungaji Bora na Mchezaji Bora kisha kuvuta mkwanja wa Sh11.4 milioni kwa ushindi...
9 years ago
GPLKILA ALIYEJIANDIKISHA ANA WAJIBU WA KUPIGA KURA
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
‘Kila Mtanzania ana haki ya kupata elimu’
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4lPsTwn7GEc/Vd6Ro6Rg3NI/AAAAAAAH0RU/vmF-Mq65uvM/s72-c/images.jpg)
MKE WANGU ANA MIMBA YA MWANAUME MWINGINE, JE SHERIA INASEMAJE ?