Bunge lakodi vipaza sauti kwa Sh8.9 milioni kila siku
>Wakati kukiwa na malalamiko kwamba Bunge la Maalumu la Katiba linagharimu fedha nyingi za walipakodi, uongozi wa taasisi hiyo umetumia Sh142.56 milioni kukodi vipaza sauti kutoka Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo512 Aug
Bunge lakodi vipaza sauti kwa Tsh milioni 142 kutoka Ukumbi wa Mikutano wa AICC
9 years ago
Bongo517 Oct
Kundi la One Direction huingiza shilingi milioni 62 kila siku
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mfanyabiashara aporwa Sh8 milioni
9 years ago
Bongo509 Nov
Kanye West hutumia zaidi ya shilingi milioni moja kila siku kunyoa nywele
![screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am1-300x194.png)
Kanye West anadai kutumia $500 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni moja kunyoa nywele.
Kwa mwaka hiyo inaaminisha kuwa hutumia zaidi ya $180,000.
Taarifa hizo zilisemwa na baba yake Rihanna kwenye mahojiano na jarida la Heat, Ronald Fenty, aliyesafiri na Kanye na mwanae kwenye ziara yao mwaka 2010.
“It’s crazy – he pays his barber $500 a time,” alisema. “I don’t understand how that much hair gets taken off. Kanye just loves the fresh look.”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Ukarabati ukumbi wa bunge wagharimu Sh8.2 bilioni
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Sauti za wasanii kwa Bunge la Katiba
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini
Mwandishi Wetu