ME & YOU WITH LOVE: FREDY WAYNE WA KUNDI LA MAKOMANDO ATAJA SIFA ZA MPENZI WAKE
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Lady Jaydee ataja sifa za mpenzi mpya
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2621644/highRes/944083/-/maxw/600/-/al5lyfz/-/lady+jaydee+picha.jpg)
Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.“Anayejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6rSbr2-M1uQ/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Lil Wayne amtangaza Christina Milian kuwa mpenzi wake mpya
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
BOSI wa kundi la Young Money, Lil Wayne, amemuweka wazi mpenzi wake mpya, Christina Milian, ambaye ni mmoja wa wanachama wa kundi hilo analoliongoza.
Baada ya kuweka wazi habari hiyo, Wayne kupitia mtandao wa Twitter, aliandika, “Samahani kwa kusubiri muda mrefu kujua nini kinaendelea, kwa sasa hakuna tena maswali nikiwa na Christina, huyu ni mpenzi wangu.”
Wayne ni baba wa watoto watano, na sasa yeye, mpenzi wake huyo na mtoto wake wa kwanza, Regina aliyezaa na mama...
10 years ago
Bongo511 Feb
New Music: Kimbunga Mchawi Ft. Bagasco Kunene & Fredy – Ikulu Yangu
9 years ago
Habarileo14 Oct
Mkapa ataja sifa za rais ajaye
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka umma wa Watanzania kutambua aina ya rais anayetakiwa kwa kusema, hachaguliwi rais wa klabu ya mpira, bendi ya muziki au chama cha ushirika, bali wanatakiwa kuchagua amiri jeshi mkuu aliye mwadilifu.
11 years ago
Habarileo04 Aug
Sumaye ataja sifa za viongozi wazuri
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema Watanzania wanatamani kupata viongozi wazuri na wanamwomba Mungu awasikilize na awasaidie katika hilo, huku akitaja baadhi ya sifa ambazo wangependa viongozi wao wawe nazo.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Warioba ataja sifa za rais 2015
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZdAUAtjy4LQuyATBLoCebltba1THuKBJX9fVboqiG2RuMyDfScIGVgLmtEFWCXsQYF8Od64F5bxA6QDknVaKbKh/DIDA6.jpg?width=650)
MUME WA DIDA ATAJA SIFA ZA MKEWE MTARAJIWA
10 years ago
Mtanzania04 May
Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....