FREDY FELIX WA MAKOMANDO: NIMELIFAIDI PENZI LA WOLPER!
![](http://img.youtube.com/vi/6rSbr2-M1uQ/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBYqe8oIA26TkY3UAc-EP9JUxjkzTvqc9YFo*8sU6RzdC6*ciLHkXpwG21jhRDlN3kReLQXBdXVFm-33eTM2IghV/Wolper.jpg)
SERENGETI BOY: NIMELIFAIDI PENZI LA WOLPER!
10 years ago
GPL26 Feb
10 years ago
Bongo Movies24 Jan
Hapa na Pale:Penzi la Wolper na Nay wa Mitego Kuwekwa Wazi!!
Baada ya kudaiwa kuwa wapenzi na kisha habari hizo kufifia, hatimaye penzi la mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper na Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, limeibuka upya ambapo safari hii Nay ameamua kufunguka hadharani.
Kwa mujibu GPL, wawili hao walianzisha uhusiano wao mwishoni mwa mwaka jana na sasa mapenzi ndiyo yamekolea hadi kufikia hatua ya Nay wa Mitego kuanika hisia zake mtandaoni.
“Wamekuwa wakibanjuka kwa siri sana si unajua Nay ana mchumba wake...
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Baada ya Serengeti Boy Kujinadi Kulifaidi Kufaidi Penzi Lake, Wolper Achukulia Kama Changamoto!
Mrembo na staa wa bongo movies, Jackline Massawe Wolper ameonyesha kuchukulia ni kama changamoto kitendo cha msanii wa muziki kutoka kundi la makomando Fredy Felix ambae ni bwa’mdogo “Serengeti Boy” kujinadi hadharani kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Wolper huku akielezea njinsi alivyompata na kumsifu kuwa alimpata penzi ambalo hatoweza kulisahau.
Felix aliyasema hayo hivi juzi kati alipokuwa akifanya mahojiano na Global Tv online nakusababisha stori hii kuenea kwa kasi sana...
10 years ago
VijimamboMWANDISHI WA HABARI WA STAR TV MBEYA FREDY BAKALEMWA AMEFARIKI DUNIA.
Mwandishi wa Habari wa Star Tv Fredy Bakalemwa enzi za uhai wake.Taarifa kamili tutawaletea hapa.
10 years ago
Bongo511 Feb
New Music: Kimbunga Mchawi Ft. Bagasco Kunene & Fredy – Ikulu Yangu
11 years ago
IPPmedia28 Apr
Karatu District Commissioner, Felix Ntibenda
IPPmedia
IPPmedia
Constituent Assembly (CA) members have been challenged to ensure that issues related to people with disabilities are well taken care of in the new constitution. Karatu District Commissioner Felix Ntibenda said this here at the weekend when wrapping-up a ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JaaIjingYwLqxlMV59nvYM5p0plnFGNEayQapg5KxLgbP7l3y4dBoPOcLtjaZPO4kl-UPl8tD-jVFYyx2EFSjlQc7p1vfZXD/1.jpg?width=650)
MAKOMANDO NDANI YA GLOBAL TV
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...