Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Njia tano za kufanya kazi kutoka nyumbani

Mlipuko wa virusi vya corona kunafanya watu wengi wafanye kazi kutokea nyumbani kwa mara ya kwanza. Hizi ni njia za kufanya kwa ufanisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Njia tano zilizotumiwa na baadhi ya mataifa kuzuia kasi ya virusi vya corona

Huku baadhi ya mataifa yakipata maafa mabaya zaidi kama vile China, Uhispania, Itali na Marekani , mengine yameidhinisha mikakati ambayo imezuia kusambaa zaidi kwa virusi vya corona.

 

10 years ago

Bongo5

Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu

Viongozi wazuri huweza kushughulikia mabadiliko vizuri, iwe kwenye ngazi ya kisiasa, kijamii na hata kibiashara. Rais Jonathan anaweza akawa mtu wa kuigwa kwenye siasa za Nigeria kitu ambacho mataifa mengi ya Afrika wanashindwa kufanya na hata yale ya Mashariki ya Kati. Kuna viongozi wao wanadhani wao ndio kila kitu au miungu wadogo lakini ukweli wa […]

 

10 years ago

Michuzi

LHRC WAJITOA KUFANYA UANGALIZI UCHAGUZI WA JUMAPILI KWA NJIA ZA KISASA,TIZAMA WATAKAVYOFANYA KAZI HAPA

Mkuu wa dawati la uangalizi wa chaguzi na bunge LHRC KHAMIS MKINDI akizungumza na wnahabari juu ya mfumo huo ambao watautumia katika uchaguzi huo unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa wiki huu siku ya jumapili

Na Exaud mtei
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania uchaguzi unaotarajiwa kufanyika siku ya jumapili ya mwisho wa wiki hii,kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC leo kimetangaza kufanya uangalizi wa uchaguzi huo kwa njia ya TEHEMA yaani ICT-election monitoring katika mikoa...

 

11 years ago

CloudsFM

NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA

Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.

 

9 years ago

Michuzi

MHAGAMA: Msiajiri wataalam kutoka nje kwa kazi wanazoweza kufanya watanzania

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu), Mhe. Bibi Jenista Mhagama (Mb), akisisitiza kutoa kipaumbele cha ajira kwa wataalam wa kitanzania wenye taaluma sawa na wataalamu wasio watanzania wakati alipokutana na Menejimenti ya Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TAESA), tarehe 23 Desemba, 2015, (katikati) ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Vijana), Mhe. Anthony Mavunde (Mb), na Kaimu Mkuu mtendaji wa Wakala wa Huduma...

 

10 years ago

Vijimambo

HII NAYO KALI KUTOKA MTWARA: ETI WAZUNGU WAFANYIWA TAMBIKO BAADA YA MITAMBO KUGOMA KUFANYA KAZI

Bosi wa kampuni ya mafuta ya Maurel et Prom (T) Ltdakinywa dawa ya tambikoBosi wa kampuni ya mafuta ya Maurel et Prom (T) Ltdakipakwa dawa ya tambiko kwenye kipaji cha uso…Mabosi na wafanyakazi wa kampuni hiyo wakiwa katika tambiko hilo linalodaiwa kufanyika mapema wiki hii.
Za kitaa kutoka Mtwara zinadai kuwa bibi mmoja aliyeitisha Serikali kuwa ikifanya mchezo na haki za watu wa mkoa huo atabadili gesi kuwa maji, amewapigia tambiko Wafaransa wazungu wa Kampuni ya uchimbaji wa visima vya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi wa darasa la tano atoweka nyumbani

MTOTO, Valentina Ngoya (14), Mkazi wa Songambele, Mererani mkoani Manyara anatafutwa na wazazi wake baada ya kuondoka nyumbani kwao tangu Novemba 3 mwaka huu akienda shule. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani