Afya ya Tuddy Thomas yaendelea kuimarika
Mtayarishaji wa muziki Tuddy Thomas aliyevamiwa hivi karibuni na vibaka na kukatwa mapanga akiwa nje ya maeneo ya Mlimani City jijini Dar es Salaam, anaendelea vizuri. Tuddy amesema tayari ameshaanza kufanya mazoezi madogo madogo ili kuimarisha afya yake. “Naendelea salama ingawa bado sijakaa vizuri, nafanya mazoezi, kwa sababu niliumia mikono yote,” Tuddy alikiambia kipindi cha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAFYA YA DK. CHENI YAENDELEA KUIMARIKA
11 years ago
CloudsFM10 Jun
NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA
Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Sekta ya afya kuimarika Dodoma
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa wa Dodoma, leo inatarajiwa kuzindua mpango wa kuimarisha sekta ya afya mkoani hapa. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N7*qQ6E0U5Lg68yi7GxeoWZAVWuA7blvsjX*gzVuJlVn4hB7NEFotMPCMxEYwJ5C0w6fSWQNZFYIFK2Lejk8p6F8uxK1Q9WN/D92A4106.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATOLEWA NYUZI KATIKA MSHONO, AFYA YAKE YAZIDI KUIMARIKA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s72-c/D92A4106.jpg)
Rais Kikwete atolewa nyuzi katika mshono,Afya yake yazidi kuimarika
![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s1600/D92A4106.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xuv-aLuA6dc/VHAWwuaA0gI/AAAAAAAGyzw/baHv5jX6x0U/s1600/0L7C0136.jpg)
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6R54jMh9ZJ8/U4_5vIce5AI/AAAAAAABAOg/VCZ3_NOTYxk/s72-c/blog+8.jpg)
NSSF YAENDELEA NA KAMBI ZA UPIMAJI AFYA KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), linaendesha kambi za upimaji wa Afya bure kwa wakazi wa kanda ya ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi ambalo lilianzia mkoa wa Mara na kupata mwitiko mkubwa wa wakazi wa Mara kwa kupima...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UMaavzXYADA/VLfcPC3hTTI/AAAAAAAG9mg/mo31Z4EOp8M/s72-c/DSC_0159.jpg)
NHIF yaendelea kutoa somo kwa wadau wa afya jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UMaavzXYADA/VLfcPC3hTTI/AAAAAAAG9mg/mo31Z4EOp8M/s1600/DSC_0159.jpg)