AFYA YA DK. CHENI YAENDELEA KUIMARIKA
Mama Lulu akizungumza na Dk. Cheni huku akila chakula alichompelekea. BAADA ya kukumbwa na gonjwa hatari la Dengu linaloenea kwa kasi na kusababisha hali yake kuwa mbaya, staa wa filamu za Kibongo, Mahsein Awadh ‘Dk . Cheni’ afya yake inazidi kuimarika siku hadi siku. Leo kamera yetu ilitembelea kwenye hospitali ya Burhani iliyopo Posta alikolazwa na kumnasa mama wa staa wa filamu, Elizabeth Michael...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Sep
Afya ya Tuddy Thomas yaendelea kuimarika
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Sekta ya afya kuimarika Dodoma
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa wa Dodoma, leo inatarajiwa kuzindua mpango wa kuimarisha sekta ya afya mkoani hapa. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s72-c/D92A4106.jpg)
Rais Kikwete atolewa nyuzi katika mshono,Afya yake yazidi kuimarika
![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s1600/D92A4106.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xuv-aLuA6dc/VHAWwuaA0gI/AAAAAAAGyzw/baHv5jX6x0U/s1600/0L7C0136.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N7*qQ6E0U5Lg68yi7GxeoWZAVWuA7blvsjX*gzVuJlVn4hB7NEFotMPCMxEYwJ5C0w6fSWQNZFYIFK2Lejk8p6F8uxK1Q9WN/D92A4106.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATOLEWA NYUZI KATIKA MSHONO, AFYA YAKE YAZIDI KUIMARIKA
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6R54jMh9ZJ8/U4_5vIce5AI/AAAAAAABAOg/VCZ3_NOTYxk/s72-c/blog+8.jpg)
NSSF YAENDELEA NA KAMBI ZA UPIMAJI AFYA KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), linaendesha kambi za upimaji wa Afya bure kwa wakazi wa kanda ya ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi ambalo lilianzia mkoa wa Mara na kupata mwitiko mkubwa wa wakazi wa Mara kwa kupima...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UMaavzXYADA/VLfcPC3hTTI/AAAAAAAG9mg/mo31Z4EOp8M/s72-c/DSC_0159.jpg)
NHIF yaendelea kutoa somo kwa wadau wa afya jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UMaavzXYADA/VLfcPC3hTTI/AAAAAAAG9mg/mo31Z4EOp8M/s1600/DSC_0159.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF yaendelea kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wasio katika sekta rasmi
Meneja wa Bima ya Afya NHIF Wilaya ya Temeke, Bi Ellentruder Mbogoro (kushoto), akifafanua machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasimi Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani kufungua mafunzo ya siku moja ya viongozi wa SACCOS Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Februari 17,2015 lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu kuhusiana na mpango wa NHIF wa KIKOA unaotolewa Bima ya Afya waweze kujiunga na Mfuko huo ili wapate uhakika wa matibabu kupitia mfuko wa bima ya afya...