Professor J ajishirikisha mwenyewe kwenye ‘Tatu Chafu’ kwa majina ya J Hussle na Nigga J
Rapper mkongwe Professor J anatarajia kuachia single yake mpya iitwayo ‘Tatu Chafu’ iliyotayarishwa kwenye studio yake ya Mwanalizombe chini ya producer Villy. Akiongea na Bongo5 leo, Professor amesema kwenye wimbo amewashirikisha J Hussle na Nigga J ambao hata huvyo ni yeye mwenyewe. “Watu walikuwa wana kiu sana na mimi siku nyingi nilikuwa sijarelease ngoma kwahiyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo531 Jul
New Music: Professor Jay f/ J Hustle & Nigga J – Tatu Chafu
10 years ago
Bongo515 Sep
New Music Videos: Professor Jay – Tatu Chafu & Kipi Sijasikia
10 years ago
Bongo506 Oct
Professor Jay: video za ‘Tatu Chafu’ & ‘Kipi Sijasikia’ zimewagawanya sana watu
11 years ago
GPL31 Jul
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Pro. Jay kuja na ‘Tatu Chafu’
BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha ‘Kipi sijasikia’, mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesar Jay’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la...
11 years ago
Bongo510 Jul
Wewe ni shabiki wa professor Jay? Atoa mwaliko kwa anayetaka kutokea kwenye video ya ‘Kipi Sijasikia’ Jumamosi hii (July 12)
9 years ago
Dewji Blog28 Aug
Tume ya Uchaguzi NEC yakabidhi majina ya waliojiandikisha zaidi ya mara moja kwenye BVR kwa Jeshi la Polisi
Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Sisti Cariah (katikati) akiwaonyesha waandishi wa habari utaratibu wa uhifadhi wa fomu za taarifa za wananchi waliojiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, jana Alhamisi (Agosti 27, 2015)Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey.
Afisa TEHAMA katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Adolf Kinyelo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_3115.jpg?width=650)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU NA MAADILI KWENYE KAMPENI
10 years ago
Bongo531 Dec
Professor Jay, Chege na Temba kutumbuiza kwenye tamasha la ‘Maisha Murua’ la Vodacom