Tume ya Uchaguzi NEC yakabidhi majina ya waliojiandikisha zaidi ya mara moja kwenye BVR kwa Jeshi la Polisi
Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Sisti Cariah (katikati) akiwaonyesha waandishi wa habari utaratibu wa uhifadhi wa fomu za taarifa za wananchi waliojiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, jana Alhamisi (Agosti 27, 2015)Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey.
Afisa TEHAMA katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Adolf Kinyelo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNEC YAKABIDHI POLISI MAJINA YA WATU 52,078 WALIOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MOJA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
9 years ago
VijimamboNEC YAKABIDHI POLISI MAJINA YA WATU 52,078 WALIOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MBILI KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Waliojiandikisha zaidi ya mara moja kikaangoni
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema majina ya watu waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika Daftari la Wapigakura, yamekabidhiwa kwa vyombo vya dola ili taratibu za kisheria zifuatwe ikiwamo kuwapeleka mahakamani.
Akizungumza katika kituo cha uchakatuaji (maandalizi) wa vitambulisho vya wapigakura jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Ramadhani Kailima, alisema sheria inawataka watakaotiwa hatihani kutumikia kifungo au kulipa...
10 years ago
StarTV02 Dec
CCM kuwashughulikia waliojiandikisha zaidi ya mara moja.
Na Sudi Shaabani, Mwanza.
Chama cha Mapinduzi CCM kimeahidi kuwachukulia hatua za kisheria wale wote watakaobainika kuwa wamejiandikisha zaidi ya mara mbili katika daftari la mkazi hali iliyosababisha zoezi la uandikishaji kutofikia malengo yake kwa asilimia mia.
Mpaka sasa CCM wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimewabaini watu kadhaa ambao wamehusika na tukio hilo maarufu kama mamluki na tayari wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria.
Zoezi la uandikishaji katika daftari la mkazi...
9 years ago
Vijimambo24 Aug
9 years ago
Dewji Blog28 Aug
Waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari la wapiga kura kuchuliwa za kisheria
Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Sisti Cariah (katikati) akiwaonyesha waandishi wa habari utaratibu wa uhifadhi wa fomu za taarifa za wananchi waliojiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, jana Alhamisi (Agosti 27, 2015)Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey.
Afisa TEHAMA katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Adolf Kinyelo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu...
9 years ago
Michuzi10 Oct
NEC:VIFAA VILIVYOKAMATWA SIO BVR, WALA HAVIHUSIANI VYOVYOTE NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
![Jaji mstaafu Damian Lubuva akizungumza na viongozi wa Chadema. Kutoka kulia ni Wakili wa chama hicho, John Malya na Reginald Munisi](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/jLtE2biSDW_Y_Ng4FizXZXBijoRBBntzWb_mcRq59Lx4kkMy2rfhhKzDmfwVrEU3I8MSN944V1ilLTRXlDhhk_qF4LUZBB0M3MaO4tSnBzLzqpcIUABP2op2-EIHAwdAhDuB2bB9SWmg=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Lubuva-na-Malya-620x308.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Rpy73Ww7DYw/Vi5oS3W0_RI/AAAAAAAADKs/-RlW7cZXHLg/s72-c/GANDO.png)