Jay Z ampeleka Blue Ivy makumbusho Thailand
BANGKOK, Thailand
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Jay Z, amempeleka mwanawe nchini Thailand kwa ajili ya kuangalia makumbusho nchini humo.
Jay Z aliungana na mke wake, Beyonce na mtoto wao, Blue Ivy kwa ajili ya kumuonesha makumbusho mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya kuufurahia mwaka 2015.
Baada ya kuwasili katika makumbusho ya Fantasea nchini humo, alikutana na Chui ambaye alikuwa anang’ara kwa rangi ya dhahabu huku ikiwa sawa na rangi ya nguo ambayo alivaa mtoto huyo, hali hiyo ilimfanya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Mtazame mtoto wa Beyonce na Jay Z, Blue Ivy alivyokua
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Beyonce-Jay-Z-Best-PDA-Moments-Pictures.jpg?width=650)
JAY-Z Vs DIAMOND, TIFFAH Vs BLUE IVY, WANAVYOFUNIKA KWA REKODI
10 years ago
Bongo513 Oct
Picha: Jay Z na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy wafurahia ‘vekesheni’ Paris
10 years ago
Bongo525 Aug
MTV VMA 2014: Jay Z na Blue Ivy walipopanda jukwaani kumkabidhi Beyonce tuzo na ‘kiss’ (picha)
10 years ago
Bongo504 Feb
Beyonce na Jay Z kuhamia L.A kutoka New York, wamwandikisha Blue Ivy kwenye shule ya milioni 25 kwa mwaka
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uq-_izXcjzU/U3hurfw68BI/AAAAAAAFjag/S4HD_w1XQTo/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aSxAmkIS9GM/U3hutR0sQ6I/AAAAAAAFjao/dqtuEsIHhwg/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
Mtanzania22 Jan
Wema ampeleka Diamond Polisi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKALI wa filamu nchini na Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Diamond ampeleka Wema kimataifa
STAA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, amemtanulia wigo wa filamu mpenzi wake Wema Sepetu kwa kumuunganisha na wasanii wa Ghana ili aweze kuwika kimataifa katika...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Mangula ampeleka jela kigogo CCM
ZIARA ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, Philip Mangula mkoani Kigoma, imemponza Katibu Mwenezi wa chama hicho Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, Majaliwa Zuberi na kujikuta akitupwa...