Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jay Z ampeleka Blue Ivy makumbusho Thailand

FFN_Beyonce_JayZ_FF8_111114_515820037889567BANGKOK, Thailand

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Jay Z, amempeleka mwanawe nchini Thailand kwa ajili ya kuangalia makumbusho nchini humo.

Jay Z aliungana na mke wake, Beyonce na mtoto wao, Blue Ivy kwa ajili ya kumuonesha makumbusho mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya kuufurahia mwaka 2015.

Baada ya kuwasili katika makumbusho ya Fantasea nchini humo, alikutana na Chui ambaye alikuwa anang’ara kwa rangi ya dhahabu huku ikiwa sawa na rangi ya nguo ambayo alivaa mtoto huyo, hali hiyo ilimfanya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Mtazame mtoto wa Beyonce na Jay Z, Blue Ivy alivyokua

Beyonce na Jay Z wamekuza. Tazama picha za juzi za mtoto wao Blue Ivy akiwa na mama yake.

 

9 years ago

GPL

JAY-Z Vs DIAMOND, TIFFAH Vs BLUE IVY, WANAVYOFUNIKA KWA REKODI

Jay Z na Beyonce ...Wakiwa na mtoto wao Blue Ivy Diamond Platnumz na mpenzi wake Zarinah  Hassan 'Zari the Boss Lady' wakiwa na mtoto wao, Latiffah Nasbul 'Tiffah'. Mastaa na shoo za ‘kiprofesheno’ SEAN Carter ‘Jay-Z’ ni jina kubwa sana duniani kufuatia mchango wa msanii huyo katika gemu la muziki wa Hip Hop. Kupitia umaarufu wa jina lake, umeweza kumpatia mafanikio… ...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Jay Z na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy wafurahia ‘vekesheni’ Paris

Jay Z na Beyonce wameendelea kuzipoteza tetesi za kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe, kwa kuendelea na vekesheni na mtoto wao, Blue Ivy. Wanandoa hao walimpeleka mtoto wao kwenye makumbusho ya Louvre jijini Paris na kupiga picha kadhaa, bila kusahau selfies. Jionee.

 

10 years ago

Bongo5

MTV VMA 2014: Jay Z na Blue Ivy walipopanda jukwaani kumkabidhi Beyonce tuzo na ‘kiss’ (picha)

Beyonce, Jay Z na binti yao Blue Ivy au waite The Carters, Jumapili (Agosti 24) kwenye tuzo za MTV VMA wameendelea kuthibitisha kuwa ni ‘happy family’ licha ya ripoti mbalimbali ambazo zimeendelea kutolewa kuhusu matatizo ya ndoa yao. Beyonce alishinda tuzo ya ‘Michael Jackson Video Vanguard Award’ kwenye tuzo za MTV VMA 2014. Lakini kubwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce na Jay Z kuhamia L.A kutoka New York, wamwandikisha Blue Ivy kwenye shule ya milioni 25 kwa mwaka

Beyonce na Jay Z wanahamia jijini Los Angeles baada ya kuishi jijini New York kwa miaka mingi, mtandao wa TMZ umedai. Umesema Beyonce na Jay Z kwa sasa wanaishi kwenye hoteli huko Beverly Hills na wanatafuta nyumba ya kununua. Mtandao huo pia umedai kuwa mastaa hao wamemwandikisha mtoto wao Blue Ivy mwenye miaka mitatu kwenye […]

 

11 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR

Kundi kubwa la wanafunzi kutoka shule mbali mbali wakisherekea Maadhimisho ya Siku ya Makumbusho Duniani yanayo adhimishwa Kitaifa katika Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaam. Kundi kubwa la Wanafunzi walio udhuria maadhimisho yaSiku ya Makumbusho Duniani katika Viwanja vya Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaama wakimsikiliza Mwendesha kipindi cha watoto, Bw Chance Ezekiel (Uncle Bilinge) hayupo Pichani. Pichani ni Chance Ezekiel (Uncle Bilinge) na safu nzima ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Wema ampeleka Diamond Polisi

Diamond-na-Wema-nzuri_full1NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKALI wa filamu nchini na Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diamond ampeleka Wema kimataifa

STAA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, amemtanulia wigo wa filamu mpenzi wake Wema Sepetu kwa kumuunganisha na wasanii wa Ghana ili aweze kuwika kimataifa katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mangula ampeleka jela kigogo CCM

ZIARA ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, Philip Mangula mkoani Kigoma, imemponza Katibu Mwenezi wa chama hicho Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, Majaliwa Zuberi na kujikuta akitupwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani