Jay Z na Beyonce washinda kesi ya kuhusiana na wimbo wao ‘Drunk In Love’
Jay Z na Beyonce wameshinda kesi iliyofunguliwa na muimbaji wa Hungary aliyedai kuwa wanandoa hao walitumia sauti yake kwenye wimbo wao ‘Drunk In Love.’
Muimbaji huyo aitwaye Mitsou aliwashtaki The Carters kwa kutumia sauti yake kwenye sekunde 90 za wimbo huo. Sample ni kutoka kwenye wimbo ‘Gypsy Life on the Road’ uliachiwa Marekani mwaka 1997. Alikuwa akitaka alipwe fidia kutokana na kutumika bila ridhaa yake.
Mitsou alifungua kesi hiyo chini ya sheria za haki za kiraia (Civil Rights Law)...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Dec
Beyonce na Jay Z washtakiwa na mwimbaji wa Hungary kwa kudaiwa kutumia sauti yake bila idhini kwenye ‘Drunk In Love’
10 years ago
Bongo513 Oct
Picha: Jay Z na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy wafurahia ‘vekesheni’ Paris
11 years ago
GPL06 Feb
10 years ago
Vijimambo11 May
KAUSINGIZI KA BEYONCE NA JAY-Z
![bey4](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/bey41.jpg?resize=451%2C300)
![bey](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/bey1.jpg?resize=425%2C283)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pNsFM6VE6DEaqKvec6vgoDUPMQwwDxXvvyYlzdoogV6U4Z0XoG6e3CplKbIs1aDfMe5RjNngvDLifV8-XN*1Cf/2.jpg?width=650)
BEYONCE, JAY Z WAIKACHA NDOA YA KANYE
10 years ago
Bongo517 Sep
Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmdJHXc8jaEB-SCzhNZ4WY3TGy3t6thdy*sv3BjWwQ9tF1ZOJkzrA1ibGRzU8EV5npE1r7znNni8sb2JIcJ1osj/JayZandBEyonceromanticwalkINF.jpg?width=650)
BEYONCE, JAY Z MAHABA KAMA WAMEANZA JANA!