JK azungumzia kupigwa kwa Lipumba
Rais Jakaya Kikwete amewakingia kifua polisi waliotembeza kichapo kwa wafuasi wa Chama Cha Wananchi (Cuf), na kudai kuwa maandamano na mikutano yote ni lazima iwe na kibali cha polisi.
Rais Kikwete aliyasema hayo jana Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kuwaeleza waandishi wa habari walichozungumza faragha na mgeni wake, Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck, na baadaye kuja mbele ya waandishi wa habari na kujibu maswali mbalimbali.
Akijibu swali la waandishi wa habari wa Ujerumani, aliyetaka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL04 Feb
10 years ago
Vijimambo
"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni

Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...
9 years ago
Bongo519 Nov
Ronda Rousey kutopanda ulingoni kwa miezi sita baada ya kupigwa kwa KO na Holly Holm

Ronda Rousey atatakiwa kukaa nje ya ulingo kwa siku 180 kutokana na kupigwa kwa knock-out na Holly Holm kwenye UFC 193 weekend hii.
Rousey alipigwa vibaya na Holm aliyewahi kuwa mwana masumbwi wa kulipwa na kuivunja rekodi yake ya kutowahi kupigwa. Alishindwa katika raundi ya pili kwa teke kali la kichwani.
Bondia huyo mwenye miaka 28 alipelekwa hospitali nchini Australia.
Kupitia Instagram baada ya mchezo huo, Rousey aliandika: I just wanted to thank everyone for the love and support. I...
10 years ago
Vijimambo29 Oct
BONDIA FADHILI MAJIHA AONESHA MAAJABU KWA KUPIGWA KWA POINT THAILAND MCHEZO WA RAUNDI 12


5 years ago
BBCSwahili25 May
Mona Lisa: Kwa nini mwanamke huyu anajulikana kwa 'kupigwa busu' nyingi zaidi duniani
11 years ago
Habarileo01 Mar
Afa kwa kupigwa na rimu
WATU watatu wamekufa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mkazi wa Kimara aliyetambuliwa kwa jina la Ombeni Ndosa (39) kufa baada ya kugongw na rimu.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Auawa kwa kupigwa risasi
MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...
11 years ago
BBCSwahili28 May
Kura kupigwa kwa siku ya 3 Misri
10 years ago
GPL
MARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI