Kauli ya Mbunge Lusinde: Wananchi watoana ngeu.
Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde.Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde, juzi alisababisha mapigano yaliyojeruhi wapigakura wake kadhaa.
Baadhi ya wapigakura wake kumzomea wakipinga hoja zake alizokuwa akitumia kujinadi katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nkwenda wilayani Chamwino, mkoani Dodoma.Mkutano uliondaliwa na serikali ya kijiji ili kumpa nafasi mbunge huyo kuzungumza na wananchi wake juu ya mambo mbalimbali ya maendeleo aliyoyafanya kwa taktibani miaka minne na nusu.
Alianza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s72-c/lusinde.png)
"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s1600/lusinde.png)
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Wananchi wadai kuchoshwa na Lusinde
WANANCHI wa Mtera wameeleza kuchoshwa na mbunge wao Livingstone Lusinde (CCM), kwa madai kuwa ni mzigo kutokana na kutumia muda mwingi kutukana wapinzani badala ya kujenga hoja za maendeleo. Wakizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UmPseIHRR48/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Mbunge abeza kauli ya RC Kagera
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
‘Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa’
WANANCHI wametakiwa kuwa makini na kauli za wanasiasa, kwani si kila kitu wanachosema ni cha kweli kwa kuwa baadhi yao hupotosha jamii kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza wakati wa harambee...
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa-IPTL
Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tOQX6TzSng8/VFBrvGHV1WI/AAAAAAACt5M/zP2vENpxUps/s72-c/1.jpg)
Wananchi waaswa kuwa makini na kauli za wanasiasa-IPTL
![](http://4.bp.blogspot.com/-tOQX6TzSng8/VFBrvGHV1WI/AAAAAAACt5M/zP2vENpxUps/s1600/1.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Kauli ya Rais Kikwete yazua sintofahamu kwa wananchi
9 years ago
Bongo522 Oct
JCB kuvunja ukimya na ‘Turu Juu Ya Ngeu’