Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge abeza kauli ya RC Kagera

Mbunge wa Karagwe mkoani Kagera (CCM), Innocent Bashungwa amesema amri ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, John Mongella ya kupiga marufuku mamalishe kuendelea na biashara siyo ufumbuzi wa tatizo la ugonjwa wa kipindupindu.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kauli ya Mbunge Lusinde: Wananchi watoana ngeu.


Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde.Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde, juzi alisababisha mapigano yaliyojeruhi wapigakura wake kadhaa.
Baadhi ya wapigakura wake kumzomea wakipinga hoja zake alizokuwa akitumia kujinadi katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nkwenda wilayani Chamwino, mkoani Dodoma.Mkutano uliondaliwa na serikali ya kijiji ili kumpa nafasi mbunge huyo kuzungumza na wananchi wake juu ya mambo mbalimbali ya maendeleo aliyoyafanya kwa taktibani miaka minne na nusu.
Alianza...

 

11 years ago

Mwananchi

Nape abeza Ukawa kuungana

Siku moja baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais na ubunge majimboni, CCM kimebeza hatua hiyo kikisema viongozi hao hawawezi kukaa zizi moja.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana abeza maandamano ya wapinzani

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amevishangaa vyama vya upinzani kwa kuendekeza maandamano na malumbano na Jeshi la Polisi badala ya kufanya kazi za kuwaletea maendeleo wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape abeza ushirikiano, wasomi watoa angalizo

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema hatua ya viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuingia katika makubaliano ya kushirikiana “ni kaburi la vyama hivyo.”

 

10 years ago

TheCitizen

NYERERE & KAGERA WAR-4: Kagera War: Lessons and challenges

>Besides recapturing the Kagera Salient and driving Idi Amin out of Uganda, Tanzania’s second major success in the eight-month war lay in the organisation of its fighting force.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani