Wananchi wadai kuchoshwa na Lusinde
WANANCHI wa Mtera wameeleza kuchoshwa na mbunge wao Livingstone Lusinde (CCM), kwa madai kuwa ni mzigo kutokana na kutumia muda mwingi kutukana wapinzani badala ya kujenga hoja za maendeleo. Wakizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Jul
Kauli ya Mbunge Lusinde: Wananchi watoana ngeu.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/VSFM-ZJ9kMHM1naZ48XZe3xvrejvEIn8s04TRDY1dvnebKDx0AKuJZR1j0PegxsukUBnme0qqxQ9aijCPjXfJen2s896MkR9_Ki6_H9_1GT3SOk4uhdK=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Living-06July2015.jpg)
Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde.Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde, juzi alisababisha mapigano yaliyojeruhi wapigakura wake kadhaa.
Baadhi ya wapigakura wake kumzomea wakipinga hoja zake alizokuwa akitumia kujinadi katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nkwenda wilayani Chamwino, mkoani Dodoma.Mkutano uliondaliwa na serikali ya kijiji ili kumpa nafasi mbunge huyo kuzungumza na wananchi wake juu ya mambo mbalimbali ya maendeleo aliyoyafanya kwa taktibani miaka minne na nusu.
Alianza...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Wananchi wadai kudhulumiwa ardhi
11 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi
11 years ago
Mwananchi12 Dec
ANC walaani Zuma kuzomewa, wananchi wadai alistahili hilo
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Wapora maiti baada ya kuchoshwa na ibada
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gOL8Kw6AmAU/VDzivY70CoI/AAAAAAADJr8/ZQLRmw6dgus/s72-c/dent5.jpg)
DENTI AJICHOMA KISU! KWA KUCHOSHWA NA USALITI WA MPENZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-gOL8Kw6AmAU/VDzivY70CoI/AAAAAAADJr8/ZQLRmw6dgus/s1600/dent5.jpg)
Stori: Musa Mateja wa GPL
LOO! Mwanafunzi wa Chuo cha T.I.A tawi la mkoani Singida, Moza Kasim Mohemed (20) ambaye ni mkazi wa jijini Dar es Salaam, amejichoma kisu tumboni kwa madai ya kuchoshwa na usaliti wa mpenzi wake aitwaye Joel ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho.
Tukio hilo la kushangaza lilitokea usiku wa kuamkia Oktoba 10, mwaka huu maeneo ya Jovena katika Hosteli za Miami ambapo Moza alikuwa akiishi na mpenzi wake...
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Lusinde ampiga kijembe Mbatia
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Balozi Lusinde achokonoa UKAWA
MWANASIASA mkongwe nchini, Balozi Job Lusinde amewataka vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCC), kupambana na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kuhakikisha katiba mpya inayopendekezwa inapita kwenye...
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Ziara ya Kinana jimbo la LUSINDE
![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BsZByfBu_9s/VP3vkzceftI/AAAAAAAAXzE/bj8R06Bmij0/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana(kushoto) akimuonyesha Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde namna ya kufyatua matofali wakati wa kushiriki ujenzi wa shule ya msingi Lowasa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupampu maji ya...